Nafasi za Kazi ...timiza ndoto zako!
1. Applications for SEAP training USA
ERB on behalf of the Ministry of Works, Transport and Communication invites Civil Graduate Engineers (preferably Civil Highway) to apply for SEAP training to be done in the United States of America. The training based on Roads & Airports construction using the “Andale SuperSlurry....Chanzo: ERB website
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-12
Mahali pa kazi/tukio: USA Imetembelewa mara 4536...Deadline: 2017-12-22 00:00:00
2. Nafasi ya Kazi Zanzibar University
VACANT POST Zanzibar University (ZU) is seeking to recruit a highly qualified and committed Tanzanian to fill the vacant post of Deputy Vice Chancellor for administration. Qualifications: A candidate must have....Chanzo: ZU
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-06
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Univeristy Imetembelewa mara 5782...Deadline: 2017-12-25 00:00:00
3. Nafasi za Kazi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ-Pemba
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ - Pemba kama ifuatavyo:- OFISI YA MKUU WA MKOA WA KUSINI – PEMBA: 1. Karani Masjala Daraja la III “Nafasi 2” Sifa za....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-05
Mahali pa kazi/tukio: Pemba Imetembelewa mara 7702...Deadline: 2017-12-08 00:00:00
4. Nafasi za kazi Wizara ya mifugo maliasili na uvuvi
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Kilimo,Maliasili, Mifugo na Uvuvi kama ifuatavyo:- 1. Microbiology (Mtaalamu wa Maabara) Daraja la II “Nafasi 1” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Shahada ya Kwanza ya....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-04
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 15108...Deadline: 2017-12-08 00:00:00
5. Nafasi za kazi LTGI, EASTEC, MUHAS, MNHA na IAA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT ....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-25
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 3102...Deadline: 2017-12-09 00:00:00
6. Nafasi za kazi wizara ya Afya Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara Afya – Unguja na Pemba kama ifuatavyo:- 1. AFISA MAABARA DARAJA LA II - Nafasi moja (1) Unguja. Sifa za Muombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu elimu ya Shahada ya Kwanza ya Maabara mwenye Shahada ya pili ya....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-24
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 5657...Deadline: 2017-11-30 00:00:00
7. Nafasi za Kazi Wizara ya Elimu Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali - Pemba kama ifuatavyo:- 1. WALIMU WA SANAA NGAZI YA CHETI - Nafasi thamanini na saba (87) Sifa za Muombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu mafunzo ya Ualimu wa Sanaa ngazi....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-19
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 6111...Deadline: 2017-11-24 00:00:00
8. Nafasi za Kazi wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara Biashara, Viwanda na Masoko - Pemba kama ifuatavyo:- 1. AFISA BIASHARA NA MASOKO MSAIDIZI - Nafasi mbili (2) Sifa za Muombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu elimu ya Stashahada ya Usimamizi wa Biashara....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-19
Mahali pa kazi/tukio: Pemba Imetembelewa mara 8009...Deadline: 2017-11-24 00:00:00
9. Scholarships Pilot Training TCAA
TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY SPONSORSHIP FOR PILOT TRAINING ....Chanzo: TCAA web
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-15
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 5364...Deadline: 2017-12-08 00:00:00
10. Wito usaili Wizara ya kazi kwa Baraza la Vijana
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi za kazi katika Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto kwa ajili ya Baraza la Vijana kufika katika Wizara ya Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto, siku ya Jumamosi ya tarehe 04....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-01
Mahali pa kazi/tukio: Wizara ya Kazi Imetembelewa mara 5866...Deadline: 2017-11-04 00:00:00
Nafasi za Kazi
Zilizofanyiwa promo
TAM Review (Zanzibar Form two Mathematics Review 2007-2020
Imeangaliwa
2023-06-01 21:25:21Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
