Kuratibu shughuli zote za Migodi na Madini Zanzibar ikiwa ni pamoja na uingizaji na usafirishaji wa madini nje ya nchi;
Kusimamia tafiti za kijiolojia za Madini katika eneo lote la Zanzibar;
Kuandaa, kusimamia na kutathmini sera na sheria ya madini ya Zanzibar pamoja na mipango kazi yake;
Kuandaa mifumo ya kisheria na ya kitaasisi ili kukuza uwekezaji katika sekta ya madini;
Kushajihisha uwekezaji wa sekta binafsi katika sekta ya madini pamoja na kujenga uwezo wa uongezaji thamani wa madini;
Kushirikiana na Mamlaka za madini za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kudhibiti utoroshaji wa madini nje ya nchi;
Kubuni vyanzo vipya vya mapato yatokanayo na madini;
Kufanya mashirikiano ya kikanda na ya kimataifa kuhusiana tafiti za kijiologia (Geological Research);
Kujenga uwezo wa ndani ya nchi katika kushughulikia sekta ya madini na kuchangia katika uchumi ikiwemo kutayarisha wataalamu na kuwatunza katika taasisi za ndani;
Kuimarisha ushiriki wa ndani katika sekta ya madini;
Kudhibiti biashara ya madini.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Awe Mzanzibari mwenye umri usiozidi miaka 46.
Awe mwenye Shahada ya Kwanza ya Uhandisi Madini kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali