Wa.me/255656198441

Gastroesophageal reflux disease (GERD).

-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili.


 

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux

Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:

DALILI NA VIASHIRIA VYA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux


1. Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.Kuhisi kama kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.Kujisaidia choo kigumu kama cha mbuzi.
6.Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9. Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10. Kupata kikokozi kisichoisha
11. Kuvimba Tonsils/mafidofido mara kwa mara.
12.Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13. Kuhisi kama kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14. Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16. Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18. Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.Kichefuchefu na kutapika.
23.Sehemu za mwili kuchezacheza mfano chini ya macho
24. Masikio kuunguruma/kupiga kelele/kuwa mazito
25. Mwili kuwasha na ngozi kufifia rangi yake.
26.Kuhisi ganzi hasa kwenye vidole vya miguu na mikono.
27. Kupata kwikwi mara kwa mara.
28.Presha kupanda (temporary hypertension)
29. Kucheua majimJi machachu yenye rangi ya njano au kijani
30. Kuhisi jamii imekutenga na kukata tamaa ya kuishi.
31.Kuhisi vitu vinatembea mwilini.
32.Kuhisi umerogwa hali inayopelekea wengi kukimbilia kwa waganga wa mizimu.
 

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI

1. Uvutaji wa sigara

2. Unywaji wa pombe

3. Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine kama vile Kahawa,Chocolate, Soda nk

4. Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa

5. Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.

6. Kutumia baadhi ya Madawa kama vile ASPIRIN

7. Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Huatal hernia)

8. Kuwa Mjamzito

9. Uzito kupita kiasi (Obesity)

10. Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

 MATIBABU YA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD

-Matibabu ya KUZIDI kwa Acid tumbon yamegawanyika katika aina mbili kama ifuatavyo:????

1?? MATIBABU YA KISASA

-Matibabu haya yanahusisha utumiaji ya njia za hospital katika matibabu ikiwemo utumiaji wa PPIs(Proton pump inhibitors),Antacids,Histamine, H-2 Blockers kama vile Cimetidine (tagament HB),famotidine (Pepcid AC),Nizatidine (Axid AR)

-esomeprazole (Nexium), lansoprazole (Prevacid), omeprazole (Prilosec), pantoprazole (Protonix), rabeprazole (Aciphex) and dexlansoprazole (Dexilant) .Magnesium nk.

Dawa hizi zimekuwa zikitumiwa sana na watu wenye changamoto za Acid nying tumboni na miongoni mwa changamoto ni kwamba dawa hizi zimekuwa zikionesha msaada mdogo sana kwa asilimia kubwa ya wagonjwa na hutoa naafuu ya muda tu.

 

2?? MATIBABU KWA TIBA ASILI/TIBA MBADALA.

-Njia hii inahusisha matibabu kwa kutumia mimea tiba na imeonekana kuwa na ufanisi mkubwa kutokana na uwezo mkubwa wa mimea mingi katika kupambana na magonjwa mbalimbali kwasababu mimea kutibu kiini cha tatzo kwa kuzifanya kuwa mpya seli za mwili hivyo kuufanya mwili kuwa na uwezo mpya katika kufanyakazi zake.

-Ziko dawa nyingi asilia zenye uwezo mkubwa wa kupambana na matatzo ya ACID nying tumboni,mfano wa dawa hizo ni ,PEPTIC ULCERS +,DUOGAT,ESOGAT Nk.

Wasiliana nami kwa msaada zaidi wa kitaalamu katika kupambana na tatizo hili na mengine.

PANDEX HERBAL CLINIC

ILALA-DAR ES SALAAM

PANGANI-STREET

 

pandexclinic@gmail.com

DAR ES SALAAM

"/>

Product Details

MATIBABU YA ACID REFLUX

40
Views

Price

Contact Seller TZS

Quick Overview :

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)Wa.me/255656198441Gastroesophageal reflux disease (GERD).-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na....

Status (New or used?):

Mpya

Product Location:

DAR ES SALAAM

Shop/Seller's Name:

PANDEX HERBAL CLINIC

Communications:


Share via Whatsapp

Get it on Google PlayDownload our app on Google Play

Recent Products

No preview available
Milango ya vioo, madirisha na makabati

Last view

2026-01-06 14:22:51
TZS Contact Seller
No preview available
Madirisha na milango ya Welding

Last view

2026-01-06 14:21:19
TZS Contact Seller
No preview available
Star-x kitchen machine

Last view

2026-01-06 14:17:34
TZS Contact Seller
No preview available
Samsung galaxy j110

Last view

2026-01-06 14:12:50
TZS 168,000
No preview available
Samsung J106 mini pro

Last view

2026-01-06 14:12:48
TZS 130,000
No preview available
BAWASIRI NI NINI?

Last view

2026-01-06 14:12:45
TZS Contact Seller
No preview available
DAWA YA KUTIBU BAWASIRI BILA UPASUAJI

Last view

2026-01-06 14:12:43
TZS Contact Seller
No preview available
Pure Natural Honey

Last view

2026-01-06 14:12:41
TZS 13,000

Product Description

Others by PANDEX HERBAL CLINIC

Most Viewed

MATIBABU YA ACID REFLUX

The product is in good condition and conforms to both international and national standards, It is recommended to anyone looking for genuine items, further details can be obtained by contacting the user from the contact details provided above, please feel free to contact us any time for more info and products, we import our products from various well renowned countries around the world

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)

Wa.me/255656198441

Gastroesophageal reflux disease (GERD).

-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili.


 

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux

Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:

DALILI NA VIASHIRIA VYA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux


1. Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.Kuhisi kama kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.Kujisaidia choo kigumu kama cha mbuzi.
6.Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9. Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10. Kupata kikokozi kisichoisha
11. Kuvimba Tonsils/mafidofido mara kwa mara.
12.Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13. Kuhisi kama kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14. Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16. Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18. Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.Kichefuchefu na kutapika.
23.Sehemu za mwili kuchezacheza mfano chini ya macho
24. Masikio kuunguruma/kupiga kelele/kuwa mazito
25. Mwili kuwasha na ngozi kufifia rangi yake.
26.Kuhisi ganzi hasa kwenye vidole vya miguu na mikono.
27. Kupata kwikwi mara kwa mara.
28.Presha kupanda (temporary hypertension)
29. Kucheua majimJi machachu yenye rangi ya njano au kijani
30. Kuhisi jamii imekutenga na kukata tamaa ya kuishi.
31.Kuhisi vitu vinatembea mwilini.
32.Kuhisi umerogwa hali inayopelekea wengi kukimbilia kwa waganga wa mizimu.
 

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI

1. Uvutaji wa sigara

2. Unywaji wa pombe

3. Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine kama vile Kahawa,Chocolate, Soda nk

4. Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa

5. Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.

6. Kutumia baadhi ya Madawa kama vile ASPIRIN

7. Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Huatal hernia)

8. Kuwa Mjamzito

9. Uzito kupita kiasi (Obesity)

10. Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

 MATIBABU YA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD

-Matibabu ya KUZIDI kwa Acid tumbon yamegawanyika katika aina mbili kama ifuatavyo:????

1?? MATIBABU YA KISASA

-Matibabu haya yanahusisha utumiaji ya njia za hospital katika matibabu ikiwemo utumiaji wa PPIs(Proton pump inhibitors),Antacids,Histamine, H-2 Blockers kama vile Cimetidine (tagament HB),famotidine (Pepcid AC),Nizatidine (Axid AR)

-esomeprazole (Nexium), lansoprazole (Prevacid), omeprazole (Prilosec), pantoprazole (Protonix), rabeprazole (Aciphex) and dexlansoprazole (Dexilant) .Magnesium nk.

Dawa hizi zimekuwa zikitumiwa sana na watu wenye changamoto za Acid nying tumboni na miongoni mwa changamoto ni kwamba dawa hizi zimekuwa zikionesha msaada mdogo sana kwa asilimia kubwa ya wagonjwa na hutoa naafuu ya muda tu.

 

2?? MATIBABU KWA TIBA ASILI/TIBA MBADALA.

-Njia hii inahusisha matibabu kwa kutumia mimea tiba na imeonekana kuwa na ufanisi mkubwa kutokana na uwezo mkubwa wa mimea mingi katika kupambana na magonjwa mbalimbali kwasababu mimea kutibu kiini cha tatzo kwa kuzifanya kuwa mpya seli za mwili hivyo kuufanya mwili kuwa na uwezo mpya katika kufanyakazi zake.

-Ziko dawa nyingi asilia zenye uwezo mkubwa wa kupambana na matatzo ya ACID nying tumboni,mfano wa dawa hizo ni ,PEPTIC ULCERS +,DUOGAT,ESOGAT Nk.

Wasiliana nami kwa msaada zaidi wa kitaalamu katika kupambana na tatizo hili na mengine.

PANDEX HERBAL CLINIC

ILALA-DAR ES SALAAM

PANGANI-STREET

 

pandexclinic@gmail.com

DAR ES SALAAM

This site has always provided with the best match highest quality best products at amazingly unbeatable prices, everytime i look for something to buy this is my first place to turn to, I recommend it to anyone who value their money and those who look for something that they deserve. Big up to the owner the developers and the managers of this wonderful site :) Love ya all

  • Superb quality products
  • Genuine items
  • Affordable prices
  • Instant response
  • One stop center for all
  • Guarantee
  • Latest items fashion and releases

This site has always provided with the best match highest quality best products at amazingly unbeatable prices, everytime i look for something to buy this is my first place to turn to, I recommend it to anyone who value their money and those who look for something that they deserve. Big up to the owner the developers and the managers of this wonderful site :) Love ya all

We look forward to serving you as a king! Please drop your reviews for the site and the product you have purchased from the site; we intend to make this site the best and a one stop center for all and for everything someone is looking for; any troubles of fraud you have encontered please report them to us direclty using Mail Us link so that we can act on it quickly than if they are post in this thread

Add Reviews

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Your Rating

Similar products

Brand New

SALE

Mikoba ya shule
10 Remaining

TZS 38,000

Details

Mpya

SALE

zulia
7 Remaining

TZS 15,000

Details

Mpya

SALE

Ramani (plan) ya
5 Remaining

TZS 200,000

Details

Mpya

SALE

Ramani vyumba 4 (4
4 Remaining

TZS 200,000

Details

Mpya

SALE

Ramani vyumba 5
1 Remaining

TZS 220,000

Details

Mpya

SALE

Plan ya nyumba gorofa
1 Remaining

TZS 420,000

Details

Mpya

SALE

Ramani nzuri vyumba
1 Remaining

TZS 250,000

Details

Mpya

SALE

Sony Xperia Z1 16GB
1 Remaining

TZS 300,000

Details

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

+ Tangaza bidhaa

© 2026 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili