Maelezo ya Bidhaa
UGONJWA WA PID NA TIBA YAKE
Bei
Maelewano
Maelezo kiufupi :
*_PID,SABABU ZAKE,DALILI ZAKE,KUJIKINGA KWAKE NA MATIBABU YAKE_*
_________________________________________________________________________
PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID)
-Ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke.Na maambukizi haya kutokea ikiwa bacteria wanaoambukiza kwa njia ya....
Hali (Mpya/imetumika?):
Mpya
Inapatikana wapi:
Dar es salaam
Jina la duka/Muuzaji:
Pandex Herbs
Mawasiliano:


Zilizotembelewa hivi punde
Kitabu Comprehensive Chemistry for Secondary schools Solved Topic Test and Sample Examination Book 1
Imeangaliwa
2023-09-29 09:12:13Maelezo Zaidi
UGONJWA WA PID NA TIBA YAKE
*_PID,SABABU ZAKE,DALILI ZAKE,KUJIKINGA KWAKE NA MATIBABU YAKE_* _________________________________________________________________________ PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID) -Ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke.Na maambukizi haya kutokea ikiwa bacteria wanaoambukiza kwa njia ya kujamiiana watasambaa kutoka kwenye Uke kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus),Mirija ya uzazi na kwenye Ovary (ambapo mayai ya mwanamke hupatikana). -Maambukizi ya PID mara nyingi husababishwa na Bacteria wanaosababisha Ugonjwa wa Kisonono na Chlamydia.Hivyo wanawake wenye Kisonono wapo hatarini zaid Kupata PID *_DALILI ZA MWANAMKE MWENYE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)_* -Zifuatazo ni dalili za mwanamke Mwenye PID: ???? ?? Maumivu ya kawaida ama makali chini ya kitovu. ?? Kutokwa Uchafu usio wa kawaida Ukeni ambao ni mzito wenye HARUFU MBAYA wenye rangi ya maziwa ama njano. ?? Maumivu makali wakati wa kujamiiana. ?? Hupata homa(joto laweza kupanda mpaka 110 F (38.3 °C). ?? Maumivu makali wakati wa kukojoa na hupelekea Kupata ugumu wakati wa kukojoa. ?? Hupatwa na kichefuchefu. ?? Kutapika ?? Miwasho sehemu za siri ?? Uchovu ?? Uke kuwa mlaini sana ?? Kizunguzungu ?? Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi. ?? Kuvurugika kwa Hedhi. *ATHARI ZA PID* ? Ugumba kwa wanawake ? Kupata Kansa ya shingo ya Uzazi. ? Kutunga mimba nje ya kizazi kutokana na yai kushindwa kufika katika mji wa mimba kutokana na madhara ya PID katika mirija ya Uzazi. ? KUSABABISHA majeraha nje na ndani ya mirija ya uzazi na hii hupelekea kuziba kwa mirija ya Uzazi. ? Maumivu ya tumbo /ngonga mara kwa mara baada ya tendo la ndoa na kipindi cha uchavushwaji mayai (Ovulation). *JINSI YA KUEPUKA/KUJIKINGA NA PID* ? Epuka kuvaliana nguo za ndani. ? Kuwa na tabia ya kupima mara kwa mara mfumo wako wa Uzazi. ? Kuwa msafi wa mwili na nguo zako za ndan ? Kula lishe bora. ? Epuka kufanya tendo la ndoa na mwenza wako mara baada ya kugundua ana magonjwa ya kujamiiana (STDs) Tumia dawa Asili iitwayo *UROGETIX 5* kwa matibabu ya haraka na uhakika ya PID. TIBA NA USHAURI ?????? Liwaya Tiba Asili Tanzania *PANDEX HERBS* +255755162724 +255717541527 muhammadliwaya@gmail.com
Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..
- Vitu vyenye ubora wa hali ya juu
- Bidhaa Oriji
- Bei zenye kununulika
- Huduma kwa wateja nzuri
- Mahali pamoja kwa mahitaji yote
- Gerentii
- Mitindo ya kisasa
Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..

Tumekusudia kukuhudumia kama mfalme! Tafadhali weka maoni yako kuhusu mtandao huu; tumeazimia kuufanya mtandao mmoja kwa ajili ya mahitaji yote, kama umepata tatizo la udanganyaji au bidhaa feki au jengine lolote usisite kutujulisha moja kwa moja kupitia Mail Us au namba 0655 063 601 ili tuweze kulishughulikia haraka sana
Weka maoni yako
Email yako haitawekwa wazi, maelezo yanayohitajika yamewekwa alama ya *
Maksi zako