FIBROID NI NINI?

Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega sikio.

Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.


 


 

Uvimbe katika mfuko wa kizazi wa mwanamke hujulikana kama ‘uterine myoma’ au fibroid. Uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi.Uvimbe huu hutokea katika sehemu mbalimbali juu au ndani ya mji wa uzazi wa mwanamke.


 

Ni uvimbe ambao hauhusiani na kansa na unaweza kubadilika rangi ukawa wa njano, unaweza kubadilika ukawa kama maji tu na kurudi tena kuwa mgumu.Uvimbe kwenye kizazi hujulikana pia kwa majina haya kitaalamu: ‘Uterine fibroids’, ‘Myoma’ au ‘fibromyoma’.


 

Hujulikana pia kama ‘leiomyoma’ katika lugha ya kidaktari. Wanawake wenye umri kati ya miaka 30 hadi 50 ndiyo wanapatwa kirahisi zaidi na ugonjwa huu.


 

SABABU ZA MWANAMKE KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI


 

Chanzo cha moja kwa moja cha ugonjwa huu bado hakijulikani wazi, hata hivyo baadhi ya sababu za kutokea huu uvimbe ni pamoja na;


 

1. ?Kuongezeka sana vichocheo vya progesterone na estrogen kuzidi kiwango mwilini.

2.? Ujauzito.

3.? Uzito/ unene kupita kiasi.

4.? Jenetiki zisizo za kawaida.

5.? Mfumo usio sawa wa mishipa ya damu.

6.? Sababu za kurithi.

7.? Lishe isiyo sawa/Lishe duni.

8.?Sumu na taka mbalimbali mwilini.



 

AINA ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI

Kuna aina kuu 3 za uvimbe kwenye kizazi kama ifuatavyo:

1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)

2.Intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)

3.Subserosal(nje ya kizazi)

 

WAFUATAO WAPO HATARINI KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI(UTERINE FIBROID)

1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.Unene/uzito kupita kiasi
5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.


 

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):


 

1.??Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.

2. ??Maumivu makali wakati wa siku za hedhi.

3. ??Kuvimba miguu.

4. Unaweza kuhisi una ujauzito.

5. ??Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

6. ??Kuhisi kuvimbiwa.

7. ??Kupata haja ndogo kwa taabu.

8. ??Kutokwa na uchafu ukeni.

9.?? Kupata choo kigumu au kufunga choo.

10.?? Maumivu nyuma ya mgongo.

11. ??Maumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.

12.?? Upungufu wa damu.

13.?? Maumivu ya kichwa.

14.?? Uzazi wa shida.

15.?? Kutopata ujauzito.

16.?? Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.

17.?? Maumivu ya nyonga.

18.?? Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).

19.?? Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo

20.?? Hedhi zisizokuwa na mpangilio


 

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUPONA HARAKA UVIMBE KWENYE KIZAZI


 

1. ?Hakikisha una uzito sawa kila mara kulingana na urefu wako.

2. ?Kula sana mboga za kijani na matunda

3. ?Fanya mazoezi ya viungo kila mara, mara 4 mapaka 5 kwa wiki

4. ?Kunywa maji mengi kila siku lita mbili mpaka lita tatu

5. ?Kula sana vyakula vyenye nyuzi nyuzi (faiba) na punguza vyakula vyenye mafuta

6. ?Usitumie bidhaa zozote zenye kaffeina (chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote nk), nyama nyekundu na vyakula vya kuchomwa au kupikwa katikati ya mafuta mengi (maandazi, chipsi, nk)

7. ?Achana kabisa na mawazo mawazo (stress) na hamaki nyingine zozote

8. ?Acha kuvuta sigara/tumbaku na vilevi vingine vyote hadi hapo utakapopona kabisa


 


 

MATIBABU/TIBA ASILI KWA UVIMBE KWENYE KIZAZI.


 

Tiba asili ndio njia salama na rahisi katika matibabu ya uvimbe kwenye kizazi endapo mgonjwa atafuata ushauri na matumizi sahihihi ya dawa.


 

Zipo dawa asili zenye ufanisi mkubwa sana katika kutibu uvimbe kwenye kizazi, Mfano ni dawa hizo ni FIBROCYST SOLUTION nk hii ni dawa yenye uwezo mkubwa sana katika kutibu uvimbe kwenye kizazi.


 

Wasiliana nami kwa Ushaur, matibabu na miongozo mbali mbali ya kitabibu:


 

Dr.Mapande

Tiba asili

Tanzania


 

+255764516995

+255656198441

thabitsayd@gmail.com


 

Tunapatikana Dar Es salaam, ILALA

" property="og:description" />

Maelezo ya Bidhaa

DAWA ASILI YA UVIMBE KWENYE KIZAZI(fibroids)

Imetembelewa mara
15236

Bei

764,516,995 TZS

Maelezo kiufupi :

TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI,SABABU, DALILI NA TIBA YAKE ASILI  FIBROID NI NINI?Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega sikio.Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya....

Hali (Mpya/imetumika?):

Mpya

Inapatikana wapi:

DAR ES SALAAM,TANZANIA

Jina la duka/Muuzaji:

PANDEX HERBS

Mawasiliano:


Share kwenye Whatsapp

Get it on Google PlayPakua app yetu kutoka Google play

zenjishoppazz

Zilizotembelewa hivi punde

No preview available
DAWA ASILI YA UVIMBE KWENYE KIZAZI(fibroids)

Imeangaliwa

2024-03-29 10:39:05
TZS 764,516,995
No preview available
Tv flat screen inch 32

Imeangaliwa

2024-03-29 10:38:28
TZS 380,000
No preview available
Beach Plot for Sale

Imeangaliwa

2024-03-29 10:34:15
TZS Bei Maelewano
No preview available
Begi la shule dogo

Imeangaliwa

2024-03-29 10:29:25
TZS 25,000
No preview available
DAWA ASILI YA KISUKARI

Imeangaliwa

2024-03-29 10:27:58
TZS 764,516,995
No preview available
UGONJWA WA BAWASIRI,CHANZO NA TIBA YAKE

Imeangaliwa

2024-03-29 10:26:50
TZS Bei Maelewano
No preview available
DAWA YA BAWASIRI

Imeangaliwa

2024-03-29 10:26:49
TZS 752,962,267
No preview available
Spacio inauzwa (spacio for sale)

Imeangaliwa

2024-03-29 10:25:57
TZS 7,500,000

Maelezo Zaidi

DAWA ASILI YA UVIMBE KWENYE KIZAZI(fibroids)

TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI,SABABU, DALILI NA TIBA YAKE ASILI


 


 

FIBROID NI NINI?

Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega sikio.

Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.


 


 

Uvimbe katika mfuko wa kizazi wa mwanamke hujulikana kama ‘uterine myoma’ au fibroid. Uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi.Uvimbe huu hutokea katika sehemu mbalimbali juu au ndani ya mji wa uzazi wa mwanamke.


 

Ni uvimbe ambao hauhusiani na kansa na unaweza kubadilika rangi ukawa wa njano, unaweza kubadilika ukawa kama maji tu na kurudi tena kuwa mgumu.Uvimbe kwenye kizazi hujulikana pia kwa majina haya kitaalamu: ‘Uterine fibroids’, ‘Myoma’ au ‘fibromyoma’.


 

Hujulikana pia kama ‘leiomyoma’ katika lugha ya kidaktari. Wanawake wenye umri kati ya miaka 30 hadi 50 ndiyo wanapatwa kirahisi zaidi na ugonjwa huu.


 

SABABU ZA MWANAMKE KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI


 

Chanzo cha moja kwa moja cha ugonjwa huu bado hakijulikani wazi, hata hivyo baadhi ya sababu za kutokea huu uvimbe ni pamoja na;


 

1. ?Kuongezeka sana vichocheo vya progesterone na estrogen kuzidi kiwango mwilini.

2.? Ujauzito.

3.? Uzito/ unene kupita kiasi.

4.? Jenetiki zisizo za kawaida.

5.? Mfumo usio sawa wa mishipa ya damu.

6.? Sababu za kurithi.

7.? Lishe isiyo sawa/Lishe duni.

8.?Sumu na taka mbalimbali mwilini.



 

AINA ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI

Kuna aina kuu 3 za uvimbe kwenye kizazi kama ifuatavyo:

1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)

2.Intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)

3.Subserosal(nje ya kizazi)

 

WAFUATAO WAPO HATARINI KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI(UTERINE FIBROID)

1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.Unene/uzito kupita kiasi
5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.


 

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):


 

1.??Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.

2. ??Maumivu makali wakati wa siku za hedhi.

3. ??Kuvimba miguu.

4. Unaweza kuhisi una ujauzito.

5. ??Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

6. ??Kuhisi kuvimbiwa.

7. ??Kupata haja ndogo kwa taabu.

8. ??Kutokwa na uchafu ukeni.

9.?? Kupata choo kigumu au kufunga choo.

10.?? Maumivu nyuma ya mgongo.

11. ??Maumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.

12.?? Upungufu wa damu.

13.?? Maumivu ya kichwa.

14.?? Uzazi wa shida.

15.?? Kutopata ujauzito.

16.?? Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.

17.?? Maumivu ya nyonga.

18.?? Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).

19.?? Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo

20.?? Hedhi zisizokuwa na mpangilio


 

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUPONA HARAKA UVIMBE KWENYE KIZAZI


 

1. ?Hakikisha una uzito sawa kila mara kulingana na urefu wako.

2. ?Kula sana mboga za kijani na matunda

3. ?Fanya mazoezi ya viungo kila mara, mara 4 mapaka 5 kwa wiki

4. ?Kunywa maji mengi kila siku lita mbili mpaka lita tatu

5. ?Kula sana vyakula vyenye nyuzi nyuzi (faiba) na punguza vyakula vyenye mafuta

6. ?Usitumie bidhaa zozote zenye kaffeina (chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote nk), nyama nyekundu na vyakula vya kuchomwa au kupikwa katikati ya mafuta mengi (maandazi, chipsi, nk)

7. ?Achana kabisa na mawazo mawazo (stress) na hamaki nyingine zozote

8. ?Acha kuvuta sigara/tumbaku na vilevi vingine vyote hadi hapo utakapopona kabisa


 


 

MATIBABU/TIBA ASILI KWA UVIMBE KWENYE KIZAZI.


 

Tiba asili ndio njia salama na rahisi katika matibabu ya uvimbe kwenye kizazi endapo mgonjwa atafuata ushauri na matumizi sahihihi ya dawa.


 

Zipo dawa asili zenye ufanisi mkubwa sana katika kutibu uvimbe kwenye kizazi, Mfano ni dawa hizo ni FIBROCYST SOLUTION nk hii ni dawa yenye uwezo mkubwa sana katika kutibu uvimbe kwenye kizazi.


 

Wasiliana nami kwa Ushaur, matibabu na miongozo mbali mbali ya kitabibu:


 

Dr.Mapande

Tiba asili

Tanzania


 

+255764516995

+255656198441

thabitsayd@gmail.com


 

Tunapatikana Dar Es salaam, ILALA

Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..

  • Vitu vyenye ubora wa hali ya juu
  • Bidhaa Oriji
  • Bei zenye kununulika
  • Huduma kwa wateja nzuri
  • Mahali pamoja kwa mahitaji yote
  • Gerentii
  • Mitindo ya kisasa

Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..

Tumekusudia kukuhudumia kama mfalme! Tafadhali weka maoni yako kuhusu mtandao huu; tumeazimia kuufanya mtandao mmoja kwa ajili ya mahitaji yote, kama umepata tatizo la udanganyaji au bidhaa feki au jengine lolote usisite kutujulisha moja kwa moja kupitia Mail Us au namba 0655 063 601 ili tuweze kulishughulikia haraka sana

Weka maoni yako

Email yako haitawekwa wazi, maelezo yanayohitajika yamewekwa alama ya *

Maksi zako

Bidhaa nyengine kutoka PANDEX HERBS

Zilizotembelewa sana

Bidhaa zinazofanana

Mpya

SELI

Mikoba ya shule
Zimebaki 10

TZS 38,000

Maelezo

Mpya

SELI

Baby shoe's
Zimebaki 10

TZS 35,000

Maelezo

Mpya

SELI

Medical students'
Zimebaki 300

TZS 170,000

Maelezo

Mpya

SELI

Dummy Test Product
Zimebaki 12

TZS 12,000

Maelezo

Mpya

SELI

Mlango wa aluminium
Zimebaki 1

TZS Bei Maelewano

Maelezo

Mpya

SELI

Kitabu Comprehensive
Zimebaki 48

TZS 8,000

Maelezo

Mpya

SELI

Keki
Zimebaki 30

TZS Bei Maelewano

Maelezo

Mpya

SELI

2SA Security Service
Zimebaki 44

TZS Bei Maelewano

Maelezo

© 2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English