Jinsi ya ku bold, italic na Kupiga mchoro kwenye Whatsapp

General Description

Source: Zenjishoppazz



Release date: 2019-11-25



Duty Station: Zanzibar
25484 visits!... Deadline: 2022-01-11 11:11:00

 

Kama ulikua hujui au umesahau jinsi ya kuandika maandishi kwa ku bold, kwa italic, kupiga mchoro yaani strikethrough hii hapa angalia.


 

Italic

Ili kuandika italic kwenye whatsapp weka alama ya (underscore) yaani kichoro hiki _ mwanzo na mwisho wa neno.


 

Mfano _Ubwabwa_  ukibonyeza space utapata neno Ubwabwa


 

Bold

Ili kuandika bold kwenye whatsapp weka alama ya (star) yaani alama hii * mwanzo na mwisho wa neno.


 

Mfano *Ubwabwa*  ukibonyeza space utapata neno Ubwabwa


 

Kupiga mchoro

Ili kupiga mchoro kwenye whatsapp weka alama ya tildes yaani kichoro hiki ~ mwanzo na mwisho wa neno.


 

Mfano ~Ubwabwa~ ukibofya space utapata neno

Ubwabwa


 

Kabla hujaondoka kuna nyengine hii ya bonus inaitwa monospace nayo utaipata kwa kuandika single quotes tatu

Mfano: “‘Monospace’’’ Ukibofya space utapata ?????????

 

 


 

Usisahau kushea kwa wenzio J;



Share via Whatsapp

Promoted Ads

No preview available
Highheels
17

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
103

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
79

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
82

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
100

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
18

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
19

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili