Matokeo ya Darasa la Nne, Darasa la Sita na Kidato cha Pili Zanzibar 2019
General Description
Source: BMZ
Release date: 2020-02-05

Matokeo ya Darasa la Nne, Darasa la Sita na Kidato cha pili (Form two)
Taarifa ya Matokeo kwa Ufupi:
WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI ZAIDI KITAIFA
Matokeo yanaonesha kuwa wanafunzi waliofanya vizuri zaidi Kitaifa kwa madarasa yote ya mitihani ni:-
Zainab Hussein Kurwa kutoka Skuli ya Upendo (Darasa la Nne).
Ummu-Kulthum Juma Ali Skuli ya Miti Ulaya (Darasa la Sita).
Amina Hassan Khatib kutoka Skuli ya Lumumba (Kidato cha Pili).
SKULI ZILIZOFANYA VIZURI ZAIDI
Skuli zilizofanya vizuri zaidi Kitaifa kwa Darasa la Nne ni Skuli ya Great vision na Upendo nursury & primary school.
Skuli zilizofanya vizuri zaidi Kitaifa kwa Darasa la Sita ni Skuli ya Feza na Evergreen.
Skuli zilizofanya vizuri zaidi Kitaifa kwa Kidato cha Pili ni Skuli ya
Lumumba na Utaani B.
Kupata maelezo zaidi kuhusu taarifa hii tembelea:
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA YA MWAKA 2019
MATOKEO
MATOKEO YA DARASA LA NNE MWAKA 2019
MATOKEO YA DARASA LA SITA MWAKA 2019


Others
Promoted Ads
Other products
