NAFASI ZA KAZI WALIMU GRADE B

General Description

Source: ZanAjira



Release date: 2023-01-04



Duty Station: Zanzibar
23211 visits!... Deadline: 2023-01-11 07:06:00

POSTMWALIMU “GRADE B” SAYANSI (DIPLOMA YA PHYSICS NA MATH) DARAJA LA III- UNGUJA - 34 POST
EMPLOYERWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
APPLICATION TIMELINE:From: 04-01-2023 To: 11-01-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kufundisha Skuli za Msingi.
  2. Kutathmini maendeleo ya Wanafunzi.
  3. Kutoa taarifa za tathmini na matokeo mbali mbali kwa uongozi wa Skuli.
  4. Kujenga mashirikiano kati ya walimu, Wanafunzi na Wazazi au Walezi.
  5. Kuandaa na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya Wanafunzi.
  6. Kutoa ushauri nasaha kwa Wanafunzi, Wazazi na Walezi.
  7. Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani Skuli katika ngazi anayofundisha.
  8. Kutathmini Mitaala ya masomo wanayofundisha.
  9. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.

 

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibari mwenye umri usizidi miaka 46
  2. Awe na  Stashahada ya Ualimu wa Msingi ( Diploma in Primary Education) ya Sayansi, kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
REMUNERATIONZPSD-08/SAYANSI

kwa maelezo zaidi tembelea link https://bit.ly/3WJIT6P



Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1088

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
781

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
892

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1031

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
859

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
839

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
564

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili