Nafasi 233 za kazi TAMISEMI

General Description

Source: Utumishi Tanzania



Release date: 2021-10-16


Download


Duty Station: Tanzania
21707 visits!... Deadline: 2021-10-29 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

page1image1871300656

OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

page1image1871335168

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi mia mbili thelathini na tatu (233) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili;

1.0.1 MHANDISI II UJENZI (HIGHWAY) – NAFASI 07

1.0.2 MAJUKUMU YA KAZI

i. Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa na Bodi ya Usajili ya Wahandisi (Professional Engineer) ili kupata uzoefu unaotakaiwa;

ii. Kufanya ukaguzi wa barabara, madaraja na majengo mbalimbali;
iii. Kuchunguza vyanzo vya ajali barabarani;
iv. Kufuatilia utekelezaji wa Sheria na Kanuni za ujenzi wa barabara na majengo;

v. Kutayarisha bajeti ya mwaka ya ujenzi na matengenezo ya barabara, madaraja na majengo;

vi. Kusimamia na kuratibu kazi za barabara/madaraja na majengo zinazotolewa na Makandarasi; na

vii. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Msimamizi wake wa kazi.

 

 

TAFADHALI BOFYA HAPA KUPAKUA FAILI LA PDF KWA MAELEZO ZAIDI



Download

Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1088

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
780

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
892

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1031

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
859

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
838

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
564

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili