Nafasi za Kazi Afirsa Uchumi Daraja la II Unguja

General Description

Source: Zan Ajira



Release date: 2024-08-09



Duty Station: Zanzibar
76 visits!... Deadline: 2024-08-23 15:30:00

POSTAFISA UCHUMI DARAJA LA II-UNGUJA - 1 POST
EMPLOYEROFISI YA RAIS - KATIBA SHERIA UTUMISHI NA UTAWALA BORA
APPLICATION TIMELINE:From: 09-08-2024 To: 23-08-2024
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kukusanya Takwimu na taarifa mbali mbali za Kiuchumi kwa ajili ya uchambuzi na uandaaji wa sera na Mipango ya Kiuchumi na kijamii.
  2. Kufanya utafiti juu ya masuala mbali mbali yatokanayo na utekelezaji wa sera za Uchumi.
  3. Kufanya ufafiti na uchambuzi wa sera na vigezo vya Uchumi.
  4. Kushiriki katika utafiti na kubainisha fursa zilizopo katika sekta husika.
  5. Kukusanya taarifa na Takwimu zinazohitajika katika kubainisha vipaumbele vya ustawi na maendeleo ya jamii.
  6. Kushiriki katika kuchambua na kutafsiri (interpret) Takwimu na taarifa mbali mbali za Kiuchumi.
  7. Kukusanya taarifa zinazohusu ushirikiano wa kimataifa, biashara ya kimataifa, misaada na madeni ya nchi.
  8. Kufanya uchambuzi wa mienendo ya ushirikiano wa Kimataifa, biashara ya nje, misaada na madeni.
  9. Kuchambua mwenendo wa sekta binafsi nchini.
  10. Utekelezaji na uratibu wa Mipango na shughuli za kichumi.
  11. Kukusanya taarifa na Takwimu zinazohitajika katika kutayarisha Miradi ya maendeleo.
  12. Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka.
  13. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE

1. Awe mzanzibari asiyezidi umri wa miaka 46.

2. Awe amehitimu elimu ya shahada ya kwanza katika fani ya Uchumi (economics), sayansi ya uchumi au uchumi wa kimataifa katika chuo kinachotambuliwa na Serikali.

REMUNERATIONSPSJ-09

BOFYA HAPA KU APPLY



Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili