Nafasi ya Kazi AFISA UHUSIANO DARAJA II - 1 POST

General Description

Source: ZanAjira



Release date: 2023-04-08



Duty Station: Zanzibar
14997 visits!... Deadline: 2023-04-15 01:42:00

POSTAFISA UHUSIANO DARAJA II - 1 POST
EMPLOYERWIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
APPLICATION TIMELINE:From: 01-04-2023 To: 15-04-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kusaidia kutayarisha matangazo ya kuitangaza Taasisi kupitia vipeperushi, redio, magazeti na Makala.
  2. Kupokea malalamiko kwa wadau na wananchi kwa ujumla juu ya utendaji wa Taasisi;
  3. Kusaidia kufanya uchunguzi wa malalamiko yaliyowasilishwa kwa Taasisi;
  4. Kusaidia kuyatafutia ufumbuzi malalamiko yaliyowasilishwa.
  5. Kuandika ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka; na
  6. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibari.
  2. Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Uhusiano wa Umma na Uhusiano wa Kimataifa kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
REMUNERATIONZPSE - 10



Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili