Nafasi ya Kazi Afisa Tehama Wizara ya Kilimo

General Description

Source: Zan Ajira Portal



Release date: 2023-07-04



Duty Station: Tanzania
18048 visits!... Deadline: 2023-07-14 15:30:00

POSTAFISA TEHAMA DARAJA LA II- UNGUJA - 1 POST
EMPLOYERWIZARA YA KILIMO UMWAGILIAJI MALIASILI NA MIFUGO
APPLICATION TIMELINE:From: 28-06-2023 To: 14-07-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kufanya majaribio ya sehemu timilifu za program za Kompyuta (Perform Unit Systems (Module Testing),
  2. Kufanya majaribio ya mifumo ya TEHAMA (Perform testing of System Configurations),
  3. Kufanya majaribio ya program za Kompyuta kulingana na mahitaji ya watumiaji (Conducting User Acceptance Test),
  4. Kuweka usalama wa Vifaa vya TEHAMA ndani ya Taasisi.
  5. Kuzitunza na kuzihakiki taarifa za Taasisi kwa Matumizi ya Serikali.
  6. Kuweka kumbukumbu za miundombinu ya TEHAMA.
  7. Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka.
  8. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibari mwenye umri usiozidi miaka 46.
  2. Awe amehitimu Shahada ya Kwanza ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kutoka  Chuo  kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATIONZPSG - 08



Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1088

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
781

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
892

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1031

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
859

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
839

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
564

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili