Nafasi ya Kazi Daktari wa Binadamu Daraja la II

General Description

Source: ZanAjira



Release date: 2023-02-14



Duty Station: Zanzibar
14237 visits!... Deadline: 2023-02-16 01:50:00

POSTDAKTARI WA BINAADAM DARAJA LA II - 33 POST
EMPLOYERWIZARA YA AFYA
APPLICATION TIMELINE:From: 28-01-2023 To: 16-02-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kufanya shughuli zote za utibabu, huduma za upasuaji wa dharura na upasuaji wa kawaida.
  2. Kusimamia wafanyakazi walio chini yake.
  3. Kuchunguza, kufatilia na kuzuia miripuko ya   magonjwa mbali mbali.
  4. Kupanga na Kufanya tathmini ya huduma za afya.
  5. Kuandaa mipango na makisio ya bajeti ya huduma za afya
  6. Kutoa huduma za “Outreach Programme”.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  • Awe mwenye Shahada ya kwanza katika fani ya Tiba ya Binaadamu (Medical Doctor) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  •  Awe amemaliza mafunzo ya vitendo (Internship) kwa muda wa mwaka mmoja katika hospitali zilizoteuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
  •  Awe amesajiliwa na Baraza la Madaktari Zanzibar.
REMUNERATIONZPSJ-09

 

KWA MAOMBI BONYEZA HAPA



Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1406

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
1138

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
1330

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1620

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
1304

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
1304

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
880

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili