Nafasi ya Kazi ya Fundi Umeme

General Description

Source: ZanAjira



Release date: 2023-04-28



Duty Station: TANZANIA
7332 visits!... Deadline: 2023-04-30 03:51:00

POSTFUNDI UMEME DARAJA LA III - PEMBA - 1 POST
EMPLOYEROFISI YA RAIS - IKULU
APPLICATION TIMELINE:From: 14-04-2023 To: 30-04-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kutia fitting mpya za wire wa umeme.
  2. Kuzifanyia ukarabati fitting kongwe.
  3. Kufunga main switch circuit braker swich socket na vifaa vyengine vya umeme.
  4. Kufanya marekebisho yanayohitajika pale panapotokezea maharibiko yaliyosababishwa na hitilafu la umeme.
  5. Kufanya kazi nyengine yeyote inayohusiana na masuala ya matengenezo au marekebisho ya umeme.
  6. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka arubaini na sita (46)
  2. Awe mwenye Stashahada au ya ufundi umeme kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
REMUNERATIONZPSD - 03

 

 

KWA MAOMBI GUSA HAPA



Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1009

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
726

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
816

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
952

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
793

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
760

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
506

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili