Nafasi za Kazi BAKITA

General Description

Source: AJira Website



Release date: 2022-06-16


Download


Duty Station: Tanzania
18336 visits!... Deadline: 2022-06-27 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 

OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Kumb.Na.JA.9/259/01/A/109 14 JUNI, 2022 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Kwa niaba ya Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) na Wakala wa Chuo ch Taifa cha Utalii (NCT), Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi Wa Umma anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi tatu (3) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.

1.0BARAZA LA KISWAHILI LA TAIFA (BAKITA)

Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) ni Taasisi ya Umma ambayo iko chini ya Wizara yenye dhamana ya utamaduni. Baraza liliundwa kwa Sheria ya Bunge Na. 27 ya mwaka 1967 na marekebisho yake. Kutokana na Sheria hii Baraza ndilo Wakala wa Serikali lenye mamlaka ya kusimamia na kuratibu shughuli za wadau wote wanaokuza Kiswahili katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aidha, Baraza ni mdau muhimu wa maendeleo ya Kiswahili kimataifa.

 

 

TAFADHALI PAKUA FAILI LA PDF HAPA KUPATA MAELEKEZO ZAIDI

 



Download

Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1088

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
781

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
892

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1031

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
859

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
839

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
564

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili