Nafasi za Kazi MDA na LGA

General Description

Source: Utumishi Tanzania



Release date: 2020-08-31


Download


Duty Station: Tanzania
23696 visits!... Deadline: 2020-09-10 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 

OFISI YA RAIS 

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA 

Kumb. Na EA.7/96/01/ K/270 27

 Agosti, 2020

 

 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 

 

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi kumi na mbili (12) kama zilivyoainishwa hapa chini. 

 

1. FUNDI SANIFU MSAIDIZI (MAJI) – NAFASI 1 

Kituo cha kazi atakachopangiwa: Halmashauri ya Manispaa ya Musoma 

 

1.1 MAJUKUMU YA KAZI 

 

i. Kupima uwingi wa maji mtoni 

ii. Kusoma kituo cha hali ya hewa 

iii. Kufanya utafiti wa maji chiniya ardhi 

iv. Kuchora michoro ya utafiti wa maji chini ya ardhi 

v. Kukusanya sambupili za udongo zilizopatikana wakati wa uchimbaji. 

 

1.2 SIFA ZA MWOMBAJI 

 

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliiohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachotambulika na Serikali ambao wana cheti cha ufundi Daraja la III, 

 

1.3 MSHAHARA 

 

Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS. A

 

PLEASE CLICK HERE TO DOWNLOAD PDF FILE FOR MORE INFORMATION



Download

Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili