Nafasi za Kazi Udereva

General Description

Source: Utumishi Tanzania



Release date: 2019-07-31


Download


Duty Station: Tanzania
18633 visits!... Deadline: 2019-08-12 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 
OFISI YA RAIS 
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA 
Kumb. Na EA.7/96/01/J/53 29 Julai, 2019 
 

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara zinazojitegemea na Wakala wa Serikali anakaribisha maombi ya kazi nafasi ya Dereva.Aidha,Dereva watakao ajiriwa watapelekwa katika Ofisi tofauti Serikalini. Hivyo maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 400 yanakaribishwa. 
 

1.0 DEREVA DARAJA LA II TGS B - (NAFASI 400) - ZINARUDIWA 
1.1 MAJUKUMU YA KAZI 
i) Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari, ii) Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi, 
iii) Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari, iv) Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali, 
v) Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari, vi) Kufanya usafi wa gari, na 
vii) Kufanya kazi nyingine kadri anavyoelekeza na Msimamizi wake.

 

BOFYA HAPA KUDOWNLOAD PDF FILE KWA MAELEZO ZAIDI

 



Download

Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1088

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
781

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
892

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1031

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
859

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
839

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
564

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili