Nafasi za Kazi Uhandisi Umwagiliaji

General Description

Source: Zan Ajira Portal



Release date: 2023-07-04



Duty Station: Tanzania
696 visits!... Deadline: 2023-07-14 20:44:00

POSTMUHANDISI UMWAGILIAJI DARAJA LA II - UNGUJA - 3 POST
EMPLOYERWIZARA YA KILIMO UMWAGILIAJI MALIASILI NA MIFUGO
APPLICATION TIMELINE:From: 28-06-2023 To: 14-07-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kutoa ushauri na kuonesha kwa vitendo mbinu za uendeshaji wa kilimo cha kisasa kwa njia ya umwagiliaji maji.
  2. Kuhimiza na kushajihisha wakulima wa kilimo cha kisasa katika mabonde ya umwagiliaji maji
  3. Kusimamia matumizi mazuri ya maji na pembejeo nyengine katika maeneo ya ukulima wa umwagiliaji
  4. Kusaidia kuandaa taarifa za maendeleo ya kilimo cha umwagiliaji maji vijijini na mabonde ya umwagiliaji maji.
  5. Kusaidia Kuandaa taarifa za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka.
  6. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibari mwenye umri usiozidi miaka 46.
  2. Awe amehitimu Shahada ya kwanza katika fani ya Water Resources and Irrigation engineering au Civil and Irrigation Engineering au Agricultural Enginering kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATIONZPSG - 08



Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1456

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
1217

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
1407

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1745

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
1371

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
1364

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
916

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2026 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili