Nafasi za Kazi Wizara ya Kilimo, Wizara ya Mifugo na Uvuvi
General Description
1
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb.Na EA.7/96/01/K/58
06 Agosti, 2019
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara ya Kilimo, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Halmashauri ya Jiji la Arusha, Halmashauri ya Wilaya ya Lindi, Halmashauri ya Wilaya ya Itilima, Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Halmashauri ya Wilaya ya Chemba, Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Halmshauri ya Wilaya ya Muheza na Halmashauri ya Wilaya ya Makete anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 44 kama zilivyo ainishwa katika tangazo hili.
TAFADHALI PAKUA FAILI LA PDF HAPA KWA AJILI YA MAELEZO ZAIDI

Promoted Ads
Other products
