Nafasi za Kazi za Ualimu wa Sekondari Sayansi JKU

General Description

Source: Utumishi Zanzibar



Release date: 2019-03-29



Duty Station: Zanzibar
14343 visits!... Deadline: 2019-04-05 15:30:00

Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi za Ualimu wa Sekondari kwa masomo ya Sayansi kwa ajili ya Skuli ya Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) Mtoni Zanzibar kama ifuatavyo:-

1.Mwalimu wa Chemistry/Biology Daraja la II “Nafasi 1 ” 

Sifa za Waombaji:
•Awe ni Mzanzibari.
•Awe na elimu ya Shahada ya kwanza ya ualimu katika masomo ya Chemistry na Biology kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. 



2.Mwalimu wa Physics/Math Daraja la II “Nafasi 2 ” 

Sifa za Waombaji:
•Awe ni Mzanzibari.
•Awe na elimu ya Shahada ya kwanza ya ualimu katika masomo ya Physics na Math kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. 


3.Mwalimu wa Geography/Biology Daraja la II “Nafasi 1” 

Sifa za Waombaji:
•Awe ni Mzanzibari.
•Awe na elimu ya Shada ya Kwanza ya ualimu katika masomo ya Geography na Biology kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.


4.Mwalimu wa Electronics/Telecommunication Engineering Daraja la II “Nafasi 1” 

Sifa za Waombaji:
•Awe ni Mzanzibari.
•Awe na elimu ya Shahada ya Kwanza ya Uhandisi katika masomo ya Electronics/Telecommunication Engineering kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.


5.Mwalimu wa Civil Engineer Daraja la II “Nafasi 2”

Sifa za Waombaji:
•Awe ni Mzanzibari.
•Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika masomo ya Civil Engineer kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.


6.Mwalimu wa Architecture Daraja la II “Nafasi 1” 

Sifa za Waombaji:
•Awe ni Mzanzibari.
•Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika masomo ya Architecture kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.


7.Mwalimu wa Accouting Daraja la II “Nafasi 1” 

Sifa za Waombaji:
•Awe ni Mzanzibari.
•Awe amehitimu Shahada ya Kwanza ya ualimu katika masomo ya ‘Accounting’ kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar


8.Mwalimu wa Accouting Daraja la III “Nafasi 1” 

Sifa za Waombaji:
•Awe ni Mzanzibari.
•Awe amehitimu Stashahada ya ualimu katika masomo ya ‘Accounting’ kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

9.Mwalimu wa Sheria Daraja la II “Nafasi 1”

Sifa za Waombaji:
•Awe ni Mzanzibari.
•Awe amehitimu Shahada ya Kwanza ya ualimu katika masomo ya ‘Law & Sheria’ kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. 


Jinsi ya Kuomba:
• Barua za maombi ziandikwe kwa Mkono na zitumwe kwa anuani ifuatayo:-

KATIBU, 
TUME YA UTUMISHI SERIKALINI,
S. L. P 1587 - ZANZIBAR.

•Muombaji anaombwa kuwasilisha ombi lake moja kwa moja Ofisi ya Tume ya Utumishi Serikalini iliyopo Jumba la Wananchi Forodhani Zanzibar wakati wa saa za kazi. Kwa waombaji walioko Pemba wanaombwa kuwasilisha maombi yao Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Chake Chake Pemba. Muombaji anatakiwa aiainishe nafasi ya kazi anayoiomba kati ya zilizotajwa hapo juu vinginevyo maombi yake hayatazingatiwa. 


Barua za Maombi ziambatanishwe na mambo yafuatayo:-
a) Kivuli cha Cheti cha kumalizia masomo 
b) Kivuli cha Cheti cha mtihani wa Taifa (Elimu ya Sekondari)
c) Kivuli cha Cheti cha Kuzaliwa.
d) Kivuli cha Kitambulisho cha Mzanzibari.
e) Picha moja (1) ya Passport Size iliyopigwa karibuni.
f) N.B: Atakaewasilisha ‘Statement of Result’ au ‘Progressive Report’ maombi yake hayatazingatiwa.
g) Tarehe ya mwisho ya kupokea maombi ni tarehe 05 Aprili, 2019 wakati wa saa za kazi.



Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili