Nafasi za kazi 195 Mahakama

General Description

Source: Mahakama Tanzania



Release date: 2020-05-07


Download


Duty Station: Tanzania
52623 visits!... Deadline: 2020-05-21 15:30:00

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 195 

Tume ya Utumishi wa Mahakama ni chombo kilichoundwa kwa mujibu wa aya ya 112(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Aidha, Sheria ya Uendeshaji wa Mahakama Na. 4/2011 inaipa Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na majukumu yake mengine, mamlaka ya kuajiri watumishi wa Mahakama wa kada mbalimbali. 

 

Hivyo, Tume ya Utumishi wa Mahakama inawatangazia Watanzania wenye sifa zilizoainishwa hapa chini kwa kila nafasi ya kazi na ambao wako tayari kufanya kazi katika Mahakama ya Tanzania kwenye Mikoa na Wilaya mbalimbali kuleta maombi yao ya kazi. Nafasi hizo ni Hakimu Mkazi Daraja la II – (TJS 2) nafasi 114, Afisa Utumishi Daraja la II nafasi 3 (TGS D) Katibu Mahsusi Daraja la III – (TGS B) nafasi 6, Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II – (TGS B) nafasi 27, Mlinzi (TGOS A) nafasi 27, Msaidizi wa Hesabu (TGS B) nafasi 1 na Msaidizi wa Ofisi (TGOS A) nafasi 17.

 

TAFADHALI PAKUA PDF FILE KWA MAELEZO ZAIDI

 

 



Download

Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1478

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
1239

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
1420

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1756

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
1384

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
1379

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
934

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2026 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili