Nafasi za kazi Wizara, Serikali za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa

General Description

Source: Utumishi Tanzania



Release date: 2020-02-14


Download


Duty Station: Tanzania
25119 visits!... Deadline: 2020-02-27 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

 

Kumb. Na EA.7/96/01/ K/155 13 Februari, 2020 

 

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI 

 

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi ishirini na tatu (23) kama zilivyoainishwa hapa chini. 

 

1. KATIBU MAHSUSI DARAJA LA III - NAFASI 5 

 

1.1MAJUKUMU YA KAZI 

 

i. Kuchapa barua/taarifa na nyaraka za kawaida; 

 

ii. Kusaidia kupokea wageni, kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa; 

 

iii. Kusaidia kutunza taarifa/kumbukumbu za matukio, miadi, wageni tarehe za vikao safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine; 

 

iv. Kusaidia kutafuta na kumpatia Mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi kwa wasaidizi wake ofisini; 

 

v. Kusaidia kufikisha maelekezo ya Mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake ofisini; na 

 

vi. Kufanya kazi nyingine kama atakavyoelekezwa na Kiongozi wake.

 

PLEASE DOWNLOAD PDF FILE HERE FOR MORE INFORMATION



Download

Share via Whatsapp

Others

Promoted Ads

No preview available
Highheels
1088

Visits

TZS 25,000
No preview available
Dishdash
781

Visits

TZS 20,000
No preview available
Night dress
892

Visits

TZS 8,000
No preview available
saa za kike
1031

Visits

TZS 15,000
No preview available
vyetezo vya umeme
859

Visits

TZS 10,000
No preview available
maua
839

Visits

TZS 7,000
No preview available
bulb
564

Visits

TZS 3,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2025 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili