Nafasi za Kazi Wakala wa vyuo vya Mafunzo ya Mifugo (LITA)

General Description

Source: Utumishi Tanzania



Release date: 2021-06-08


Download


Duty Station: Tanzania/USA
1280 visits!... Deadline: 2021-04-21 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

page1image3396548896

OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Kumb. Na EA.7/96/01/L/133 08 Juni, 2021 

 

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Kwa niaba ya Wakala wa vyuo vya Mafunzo ya Mifugo (LITA) Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi Tano (5) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili.

 

1.0. WAKALA WA VYUO VYA MAFUNZO YA MIFUGO (LITA)

Ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi. LITA ilianzishwa kupitia sheria ya Wakala wa Serikali Na.30 ya mwaka 1997 na mabadiliko yake ya mwaka 2007. LITA ilianzishwa tarehe 1 Septemba, 2011 na kutangazwa katika Gazeti la Serikali kupitia Notisi Namba 355 ya mwaka 2011. Dhumuni la Kuanzishwa kwake ni kutoa mafunzo ya Mifugo katika ngazi ya Astashahada na Stashahada, uzalishaji wa bidhaa za mifugo, kufanya utafiti na kutoa huduma za ushauri.

 

 

PLEASE DOWNLOAD PDF FILES HERE FOR MORE INFORMATION



Download

Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili