Nafasi za kazi SMIDA

General Description

Source: Zan Ajira Website



Release date: 2022-12-24


Download


Duty Station: Zanzibar
19832 visits!... Deadline: 2022-12-29 15:30:00


 

WAKALA WA MAENDELEO YA VIWANDA VIDOGO VIDOGO, VIDOGO NA VYA KATI (SMIDA)

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Wakala wa Maendeleo ya Viwanda Vidogo Vidogo, Vidogo na vya Kati (SMIDA) ni chombo kilichoanzishwa kwa Sheria No.2 ya mwaka 2018.

Kwa mujibu wa sheria ya hiyo, Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala ina mamlaka ya kuajiri wafanyakazi wa Wakala kwa mujibu wa kifungu Namba 5(g) cha Sheria ya Wakala Maendeleo ya Viwanda Vidogo Vidogo, Vidogo na vya Kati.

Hivyo, Wakala wa Maendeleo ya Viwanda Vidogo Vidogo, Vidogo na vya Kati (SMIDA) inakaribisha maombi ya kujaza nafasi tupu katika Kada mbali mbali kwa waombaji wenye sifa stahili katika Ofisi yake iliyopo Maruhubi Unguja na Pujini Chake Chake Pemba.

Nafasi zenyewe ni kama zifuatazo;

UNGUJA

1. MHANDISI MITAMBO DARAJA LA II (ZPSG-08) nafasi moja


 

Sifa za muombaji

? Awe ni Mzanzibari.

? Awe na Shahada ya kwanza katika fani ya Uhandisi Mitambo (Bachelor of Engineering in Mechanical Engineering) au Mitambo na Elektroniki (Bachelor of Egineering in Mechatronic Engineering) au fani nyingine inayolingana nayo kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

 

TAFADHALI BOFYA HAPA KUPAKUA PDF FILE KWA MAELEZO ZAIDI



Download

Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili