Nafasi ya Kazi System Developer (Front-End and Mobile Application Developer)

General Description

Source: ZanAjira



Release date: 2023-01-31



Duty Station: Zanzibar
26949 visits!... Deadline: 2023-02-16 01:03:00

POSTSYSTEM DEVELOPER (FRONT-END AND MOBILE APPLICATION DEVELOPER) DARAJA LA II - 1 POST
EMPLOYERWIZARA YA AFYA
APPLICATION TIMELINE:From: 28-01-2023 To: 16-02-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kuainisha progrmu ngumu na nyepesi za kompyuta na simu.
  2. Kutengeneza ‘Data Base’.
  3. Kutayarisha uendeshaji wa ‘User Manual’.
  4. Kutoa ushauri juu mifumo bora ya kompyuta na simu.
  5. Kuandaa ‘Monitoring Operating Systems’ kwa ajili ya ‘Software’ za Mawasiliano.
  6. Kufanya udhibiti wa matumizi ya programu za kompyuta.
  7. Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka.
  8. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibari mwenye umri usiopungua miaka arobaini na sita.
  2. Mwenye Shahada ya Kwanza au sifa inayolingana nayo ya Sayansi ya Kompyuta kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATIONZPSG - 08

 

KWA MAELEZO ZAIDI GUSA HAPA



Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili