Kuandika ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka; na
Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Awe Mzanzibari.
Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Uhusiano wa Umma na Uhusiano wa Kimataifa kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.