Nafasi ya Kazi Fundi wa Simu Daraja la III

General Description

Source: ZanAjira



Release date: 2023-04-28



Duty Station: TANZANIA
5892 visits!... Deadline: 2023-04-30 03:38:00

POSTFUNDI SIMU DARAJA LA III - UNGUJA - 1 POST
EMPLOYEROFISI YA RAIS - IKULU
APPLICATION TIMELINE:From: 14-04-2023 To: 30-04-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES1. Kusimamia na kutengeneza simu za ofisi.
2. Kufanya matengenezo madogo madogo yanayojumuisha matumizi ya simu ndani ya ofisi
3.Kumsaidia fundi mkuu katika kutekeleza majukumu ya kila siku.
4. Kutoa ripoti kuhusu simu na vifaa vya simu vinapoaribika.
5. Kufanya kazi nyengine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE1. Awe Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 46.
2.Awe mwenye Cheti cha Ufundi (VTA) au Cheti cha kawaida cha Electrical Engineering au Telecommunication Engineering au Computer Engineering au Electronics Engineering au Mechanical Engineering kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
3. Awe na uzoefu na ujuzi wa kutengeneza simu.
 
REMUNERATIONZPSD - 03

 

 

KWA MAOMBI GUSA HAPA



Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili