Nafasi za Masomo Zanzibar University
General Description
![](../../../announcements/images/zulogo.png)
Ofisi ya mkuu wa taalum ya Chuo Kikuu cha Zanzibar (Zanzibar University) Kilichoko Tunguu inapenda kutangaza nafasi za masomo kwa muhula unaoanza Mwezi Mei na Septemba mwaka wa masomo wa 2018/2019 kama ifuatavyo:
KOZI ZA CERTIFICATE:
1. CERTIFICATE IN BUSINESS ADMINISTRATION
2. CERTIFICATE IN PROCUREMENT AND SUPPLY
3. CERTIFICATE IN COMPUTING AND INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY
4. CERTIFICATE IN COMMUNITY DEVELOPMENT
KOZI ZA DIPLOMA:
1. DIPLOMA IN BUSINESS ADMINISTRATION
2. DIPLOMA IN PROCUREMENT AND SUPPLY
3. DIPLOMA IN COMPUTING AND INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY
4. DIPLOMA IN COMMUNITY DEVELOPMENT
5. DIPLOMA IN NURSING AND MIDWIFERY
Mwisho wa kupokea maombi kwa wanafunzi wa Astashahada (NTA Level 4) ni 30/03/2018.
Kwa maelezo zaidi kuhusu sifa za waombaji kwa masomo yaliyotajwa tafadhali rejea kwenye tovuti ya ZU: www.zanvarsity.ac.tz
Au wasiliana na namba zifuatazo :: +255 772601303/0773249487.Kwa waombaji kutoka Pemba namba: 0776384853
![](../../../../announcements/images/whattsappicon.png)
![](images/almumtaaz.jpeg)
Others
- Mambo Ambayo Yanaweza Kukupotezea Muda ikiwa utayafanya.
- Ajali ya MV Spice Islander
- Ifahamu Museum for the Future Dubai
- Matokeo ya Kidato cha Nne (Form Four) 2022/2023
- The Motivation Myth
- TABIA 12 ZA MATAJIRI/MAMILIONEA
- General studies Notes
- Mambo saba ya kujifunza katika kitabu cha The Richest Man in the Babylon
- History Form One Notes
- Ni yapi malengo yako kwa mwaka 2023
- KARIBU USAFIRI NASI KWA SAFARI YA HIJA
- MAMBO SABA WANAYOYAFANYA MASKINI, AMBAYO MATAJIRI HAWAYAFANYI
- NAMNA NZURI YA KUWEZA KUHIFADHI PESA
Promoted Ads
Other products
![](images/almumtaaz.jpeg)