Nafasi za Masomo (Scholarships) SMZ

General Description

Source: MOEZ



Release date: 2018-07-30


Download


Duty Station: Zanzibar
9781 visits!... Deadline: 2018-08-17 15:30:00

 

 

Tangazo la Nafasi za Masomo Kupitia Ufadhili Wa Benki Ya maendeleo ya kiislamu

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu zanzibar (bmejz) inatangaza nafasi za masomo ya shahada ya kwanza kupitia ufadhili wa serikali ya mapinduzi zanzibar kwa mwaka wa masomo 2018/19. 

Waombaji wa nafasi hizo wanatakiwa wawe na sifa zifuatazo:

  1. Wawe wamemaliza kidato cha sita mwaka 2018 na kupata ufaulu wa daraja la kwanza katika masomo ya sayansi.
  2. Wawe na umri usiozidi miaka 22 ifikapo septemba 2018.
  3. Wawe na afya njema.
  4. Wawe wazanzibari.

Barua za maombi ziambatanishwe pamoja na: 

  1. Vivuli vya vyeti vya masomo na matokeo ya mitihani ya kidato cha nne na kidato cha sita .
  2. Kivuli cha kitambulisho cha mzanzibari.
  3. Kivuli cha cheti cha kuzaliwa.

Fomu za maombi zinapatikana katika ofisi za bodi ya mikopo ya elimu ya juu zanzibar zilizopo vuga unguja na chakechake pemba. 

Muda wa mwisho wa kurejesha fomu za maombi zilizojazwa kikamilifu ni tarehe 17 agosti, 2018.

 

IMETOLEWA NA MKURUGENZI, BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU ZANZIBAR.



Download

Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili