Nafasi ya Kazi Tarishi Zanzibar University

General Description

Source: ZU Website



Release date: 2018-09-15



Duty Station: Zanzibar
14091 visits!... Deadline: 2018-09-20 15:30:00

 

NAFASI ZA KAZI.

Chuo Kikuu cha Zanzibar (Zanzibar University) Kinatangaza nafasi ya kazi ya

Tarishi.

Sifa za mwombaji:

 

  1. Awe na  cheti cha sekondari (kidato cha nne);
  2. Awe na uwezo wa kufanya kaz ikwa kujitegemea kulingana na maelekezo atakayopewa;
  3. Awe na umri usiopungua miaka 22 na isizidi miaka 40.

 

Mshahara na marupurupu mengine

 

Chuo kitatoa mshahara mzuri na mkataba wa kudumu kwa mtu atakaefanya vizuri kwa muda wa miaka mitatu;

Pia mtanyakazi ataweza kujiunga na bima ya afya.

 

Namna ya kuwasilisha maombi:

Muombaji anatakiwa kuwasilisha barua yake ya maombi pamoja na vielelezo vyake vya masomo.

Pia aonyeshe anuani yake vizuri.

 

Maombi yapelekwe kwa:

 

Makamo Mkuu wa Chuo

Zanzibar University

P.O. Box 2440

Zanzibar, 

 

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 20/09/2018.



Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili