Nafasi za Kazi ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na Wizara ya Kilimo
General Description
Duty Station: Tanzania
18463 visits!... Deadline: 2018-11-30 16:40:00
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Wakili
Mkuu wa Serikali na Wizara ya Kilimo anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa
Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 11 kama inavyooneshwa
katika tangazo hili.
DOWNLOAD PDF FILE YA TANGAZO HILI HAPO CHINI