Master and PhD Scholarships Alexandria University

General Description

Source: MOEZ



Release date: 2019-05-13



Duty Station: Egypt
8290 visits!... Deadline: 2019-05-31 15:30:00

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR INATANGAZA NAFASI ZA MASOMO SHAHADA YA PILI NA YA TATU NCHINI MISRI KATIKA CHUO CHA "ALEXANDRIA" KWA MWAKA WA MASOMO 2019/2020 KATIKA FANI ZA SAYANSI.

 

KWA TAARIFA ZAIDI NA JINSI YA KUFANYA MAOMBI TEMBELEA TOVUTI IFUATAYO:

 

www.nbs.alexu.edu.eg

 

NAKALA YA FOMU YA MAOMBI IWASILISHWE WIZARA YA ELIMU KATIKA KITENGO CHA URATIBU WA ELIMU YA JUU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA CHUMBA NAMBA 57.

 

 

MWISHO WA KUFANYA MAOMBI NI TAREHE 31, Mei 2019



Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili