Jinsi ya ku bold, italic na Kupiga mchoro kwenye Whatsapp
General Description
Source: Zenjishoppazz
Release date: 2019-11-25

Kama ulikua hujui au umesahau jinsi ya kuandika maandishi kwa ku bold, kwa italic, kupiga mchoro yaani strikethrough hii hapa angalia.
Italic
Ili kuandika italic kwenye whatsapp weka alama ya (underscore) yaani kichoro hiki _ mwanzo na mwisho wa neno.
Mfano _Ubwabwa_ ukibonyeza space utapata neno Ubwabwa
Bold
Ili kuandika bold kwenye whatsapp weka alama ya (star) yaani alama hii * mwanzo na mwisho wa neno.
Mfano *Ubwabwa* ukibonyeza space utapata neno Ubwabwa
Kupiga mchoro
Ili kupiga mchoro kwenye whatsapp weka alama ya tildes yaani kichoro hiki ~ mwanzo na mwisho wa neno.
Mfano ~Ubwabwa~ ukibofya space utapata neno
Ubwabwa
Kabla hujaondoka kuna nyengine hii ya bonus inaitwa monospace nayo utaipata kwa kuandika single quotes tatu
Mfano: “‘Monospace’’’ Ukibofya space utapata ?????????
Usisahau kushea kwa wenzio J;

Others
- TIBA ASILIA YA UGONJWA WA BAWASIRI
- Admission Leera Schools
- Ongeza Spidi ya Computer na Ufanisi wake kwa SSD
- Vidonda vya Tumbo, Chanzo, Dalili na Tiba Asili za Vidonda vya Tumbo
- Ten Not to miss places to visit in Zanzibar.
- Dawa ya Tonsilis (Matonsisi)
- Dawa ya Bawasiri
- Dawa ya Jino, Tiba Asilia ya Jino linalouma
- Raudhat Medical Clinic
- Jinsi ya kuchagua kompyuta kwa matummizi mbali mbali
- Dawa za asili za pumu
- Dawa za asili zinazootesha nywele na kuzuia upara
- Mahanjumati Makange ya Kuku
- CHOSEN RECIPES EGG CHOP(MINCED MEAT EGG CHOP)
Promoted Ads
Dawa ya asili ya moyo/moyo kutanuka/kutanuka kwa misuli ya moyo/shambulio la moyo/moyo kufeli
Visits
NegotiationOther products
