Naafasi za kazi Kwa Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja

General Description

Source: Utumishi Zanzibar



Release date: 2020-07-01



Duty Station: Zanzibar
35856 visits!... Deadline: 2020-07-03 15:31:00

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA MKUU WA MKOA WA KUSINI UNGUJA

Posted: 2020-06-29 14:47:50

Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja kama ifuatavyo:-

1. Afisa Uhusiano Daraja la II “Nafasi 1” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Uhusiano wa Kimataifa kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

2. Afisa Uhusiano Msaidizi Daraja la III “Nafasi 2” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Uhusiano wa Kimataifa kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

3. Dereva Daraja la III “Nafasi 3”

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Elimu ya Sekondari na kupata mafunzo ya Udereva

• Awe na Leseni ya Udereva ilitolewa Zanzibar.

4. Afisa Kumbukumbu Daraja la III “Nafasi 1” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Utunzaji Kumbukumbu kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

5. Afisa Habari Msaidizi Daraja la III “Nafasi 6” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Habari na Mawasiliano kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

6. Mapokezi Daraja la III “Nafasi 1”

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Elimu ya Sekondari

7. Afisa Mapato Msaidizi Daraja la III “Nafasi 2” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Uhasibu kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

8. Afisa Mipango Msaidizi Daraja la III “Nafasi 1” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Mipango au Uchumi kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

9. Afisa Utumishi Msaidizi Daraja la III “Nafasi 3” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Utawala wa Umma kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

10. Karani Mapato Daraja la III “Nafasi 3” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Uhasibu kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

11. Mtunza Ghala Msaidizi Daraja la III “Nafasi 1”

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Ununuzi na Ugavi kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

12. Afisa Ustawi wa Jamii Daraja la II “Nafasi 2” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Ustawi wa Jamii kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

13. Afisa Ustawi wa Jamii Msaidizi Daraja la III “Nafasi 1” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Ustawi wa Jamii kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

14. Msadizi Afisa Majenzi Daraja la III “Nafasi 2” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya (Civil Engineering kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

15. Muhudumu Daraja la III “Nafasi 2”

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amemaliza elimu ya Sekondari.

16. Afisa Kilimo Msaidizi Daraja la III “Nafasi 2”

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu elimu ya Stashahada katika fani ya Kilimo kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

17. Afisa Tabibu wa Mifugo Msaidizi Daraja la III “Nafasi 2”

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu elimu ya Stashahada katika fani ya ‘Utabibu wa Wanyama ’ kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

18. Wahudumu wa Shamba Daraja la III Nafasi 9”

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amemaliza elimu ya Sekondari.

19. Wahudumu wa Afya Daraja la III Nafasi 25”

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amemaliza elimu ya Sekondari.

20. Ulinzi Daraja la III “Nafasi 20”

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amemaliza elimu ya Sekondari na kupata Mafunzo ya Ulinzi (JKU) au (JKT).

21. Afisa Mipango Daraja la II “Nafasi 1” -

Sifa za Waombaji:

• Awe ni Mzanzibari.

• Awe amehitimu Master of Development Policy kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Jinsi ya Kuomba:

• Barua za maombi ziandikwe kwa Mkono na zitumwe kwa anuani ifuatayo:-

KATIBU,

TUME YA UTUMISHI SERIKALINI,

S. L. P 1587 - ZANZIBAR.

• Muombaji anaombwa kuwasilisha ombi lake moja kwa moja katika Ofisi ya Tume ya Utumishi Serikalini iliyopo Jumba la Wananchi Forodhani Zanzibar wakati wa saa za kazi. Kwa waombaji walioko Pemba wanaombwa kuwasilisha maombi yao Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Chake Chake Pemba.

Barua za Maombi ziambatanishwe na mambo yafuatayo:-

a) Kivuli cha Cheti cha kumalizia masomo

b) Kivuli cha Cheti cha mtihani wa Taifa (Elimu ya Sekondari)

c) Kivuli cha Cheti cha Kuzaliwa.

d) Kivuli cha Kitambulisho cha Mzanzibari.

e) Picha moja (1) ya Passport Size iliyopigwa karibuni.

f) N.B: Atakaewasilisha ‘Statement of Result’ au ‘Progressive Report’ maombi yake hayatazingatiwa.

g) Tarehe ya mwisho ya kupokea maombi ni tarehe 03 Julai, 2020 wakati wa saa za kazi



Share via Whatsapp

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili