Secretary ...timiza ndoto zako!
1. Nafasi za Kazi Afisa Miradi ya Afya Daraja I-UNGUJA - 2 POST
POSTAfisa Miradi ya Afya Daraja I-UNGUJA - 2 POSTEMPLOYERWIZARA YA AFYAAPPLICATION TIMELINE:From: 13-03-2025 To: 03-04-2025DUTIES AND RESPONSIBILITIESKuratibu utekelezaji wa mpango wa kukuza Uchumi na kupunguza umasikini.Kutayarisha mapendekezo ya Sera na Mipango ya Miradi katika sekta....Chanzo: Zan Ajira
Tarehe ya kutolewa: 2025-03-30
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 3143...Deadline: 2025-04-03 03:52:00
2. Nafasi za Kazi Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZIOfisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali inakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Wazanzibari wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi nane (8) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.1.0 OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI ZANZIBAR....Chanzo: Utumishi SMZ
Tarehe ya kutolewa: 2022-10-13
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 35076...Deadline: 2022-10-31 15:30:00
3. Nafasi za Kazi Karume Institute of Technology KIST
TANGAZO LA KAZIUTANGULIZITaasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia inatangaza nafasi mbili (02) za kazi kwa nafasi za Uongozi za Manaibu Wakuu wa Taasisi kama ifuatavyo;1.1 NAIBU MKUU WA TAASISI UTAWALA, MIPANGO NA FEDHA SIFA ZA MUOMBAJI1. Awe ni Mzanzibari mwenye kitambulisho cha....Chanzo: Utumishi SMZ
Tarehe ya kutolewa: 2022-10-13
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 25144...Deadline: 2022-10-21 15:30:00
4. Nafasi za Kazi Tasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar
TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO ZANZIBARTANGAZO LA NAFASI ZA KAZIBODI YA WAKURUGENZI YA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO ZANZIBAR KWA MUJIBU WA SHERIA INATANGAZA NAFASI ZA KAZI KATIKA OFISI ZAKE UNGUJA NA PEMBA KWA WATAFITI KATIKA KADA MBALIMBALI KAMA IFUATAVYO.1. AFISA UTAFITI KILIMO DARAJA LA II -....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2022-09-25
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 22511...Deadline: 2022-09-30 15:30:00
5. Nafasi za Kazi Kwa kada za Sheria Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi ya AFISA SHERIA DARAJA LA II na KARANI SHERIA DARAJA LA III kama ifuatavyo:- 1.AFISA SHERIA DARAJA LA II: Katika Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo :- 1.Ofisi ya Rais, Ikulu - Unguja “Nafisi 1” na Pemba....Chanzo: Utumishi SMZ
Tarehe ya kutolewa: 2022-09-21
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 26611...Deadline: 2022-09-28 15:30:00
6. Nafasi za Kazi Arusha International Conference Center
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIAPRESIDENT’S OFFICEPUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIATRef. No. JA. 9/259/01/A/142 15th August, 2022VACANCY ANNOUNCEMENTOn behalf of the Arusha International Conference Centre (AICC), Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) invites dynamic and suitable....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2022-08-16
Mahali pa kazi/tukio: Arusha Imetembelewa mara 18929...Deadline: 2022-08-28 15:30:00
7. Nafasi ya kazi Bunge Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAISSEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMATANGAZO LA NAFASI ZA KAZIKatibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Bunge la Tanzania anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi moja (1)....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2022-05-06
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 21827...Deadline: 2022-05-18 15:30:00
8. Nafasi ya kazi Bunge Tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAISSEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMATANGAZO LA NAFASI ZA KAZIKatibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Bunge la Tanzania anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi moja (1)....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2022-05-06
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 20386...Deadline: 2022-05-18 15:30:00
9. Nafasi za Kazi za Wasaidizi wa Sheria kwa Unguja na Pemba
TANGAZO LA NAFASI ZA WASAIDIZI WA SHERIA KWA UNGUJA NA PEMBAPosted: 2022-04-22 09:25:29Afisi ya Rais- Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora kupitia Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria kwa kushirikiana na Shirika la Legal Services Facility (LSF) chini ya program ya Kuimarisha Upatikanaji wa....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2022-04-22
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 19670...Deadline: 2022-04-29 14:30:00
10. Nafasi za Kazi Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za taifa, MULUWASA na Kwengineko
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAISSEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMARef.No.JA.9/259/01/3708 Septemba, 2021TANGAZO LA NAFASI ZA KAZIKatibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2021-09-15
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 18864...Deadline: 2021-09-21 15:30:00
Secretary
Zilizofanyiwa promo
Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
