Nafasi za Kazi ...timiza ndoto zako!
1. Nafasi za Kazi Wizara ya Afya Unguja na Pemba (Zaidi ya 50)
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara ya Afya Unguja na Pemba kama ifuatavyo:-1. Daktari wa Binaadamu Daraja la II “Nafasi 2” UngujaSifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Udaktari kutoka katika Chuo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-26
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 12046...Deadline: 2019-07-31 15:30:00
2. Nafasi za Kazi Wizara ya Fedha na Mipango
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara ya Fedha na Mipango kama ifuatavyo:-1. Afisa Sheria Daraja la II “Nafasi 1” PembaSifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Sheria kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-25
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 9889...Deadline: 2019-07-31 15:30:00
3. Nafasi za Kazi Afya TAMISEMI
TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) imepata kibali cha ajira mbadala chenye Kumb Na. FA 97/128/01/”A’’/31 cha tarehe 12 Julai 2019 kwa ajili ya kuajiri watumishi 550 wa kada mbalimbali za afya. Hivyo, Ofisi ya Rais,....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-24
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 18922...Deadline: 2019-08-05 15:30:00
4. Nafasi za Kazi TPA-PSPTB-KADCO-MNMA-
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/J0/51 17th July, 2019 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of Tanzania Ports Authority (TPA), Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-18
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 14958...Deadline: 2019-07-31 15:30:00
5. Nafasi za Kazi Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto
Afisa Utumishi Daraja la II “Nafasi 1” Sifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Utawala wa Umma au Rasilimali Watu kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Jinsi ya Kuomba:• Barua za maombi ziandikwe kwa....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-13
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 10259...Deadline: 2019-07-19 15:30:00
6. Nafasi za Kazi Ofisi ya Kamisheni ya Utumishi wa Umma
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Ofisi ya Kamisheni ya Utumishi wa Umma kama ifuatavyo:-1. Afisa Rasilimali Watu Daraja la II “Nafasi 6” Sifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Utawala wa Umma au Rasilimali Watu....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-13
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 9793...Deadline: 2019-07-19 15:30:00
7. Nafasi za kazi katika Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati kama ifuatavyo:-1. Karani Masjala Daraja la III “Nafasi 1” Sifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Utunzaji Kumbukumbu kutoka katika Chuo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-13
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 10102...Deadline: 2019-07-19 15:30:00
8. Nafasi ya kazi Early Primary Classroom Teacher International School of Zanzibar
Early Primary Classroom Teacher Business / Employer nameInternational School of ZanzibarCompany Industry EducationJob Level Mid levelWork Type Full TimeMinimum Qualification BachelorYears of Experience 2....Chanzo: brightermonday
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-08
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 19606...Deadline: 2019-08-05 15:30:00
9. Nafasi ya Kazi Secondary ICT Teacher and Consultant International School of Zanzibar
Secondary ICT Teacher and Consultant Job Level Mid levelWork Type Full TimeMinimum Qualification BachelorYears of Experience 2 years Description The International School of Zanzibar is seeking an ICT teacher for 11 to 14 years who can manage our ICT lab and....Chanzo: brightermonday
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-08
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 20598...Deadline: 2019-08-05 15:30:00
10. Nafasi ya kazi Vice Chancellor SUZA
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR VACANCY FOR THE POSITION OFTHE VICE CHANCELLOR The State University of Zanzibar (SUZA) is the only Public University in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999 which has been amended by Act No. 11 of 2009 and further....Chanzo: SUZA website
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-08
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 11626...Deadline: 2019-07-17 15:30:00
Nafasi za Kazi
Zilizofanyiwa promo
Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
