Nafasi za Kazi ...timiza ndoto zako!
1. Nafasi ya Kazi WWF Freshwater Program Officer
The programme Officer's major role is to provide support in designing, planning, implementing, monitoring & evaluation and reporting of the Freshwater Programme activities and growth. Major duties and responsibilities: Facilitate capacity building to the team and stakeholders....Chanzo: WWF website
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-30
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 10235...Deadline: 2018-11-09 16:30:00
2. Nafasi za Kazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kama ifuatavyo:- 1.Katibu Muhtasi Daraja la III “Nafasi 3” Sifa za Waombaji: •Awe ni Mzanzibari. •Awe amehitimu Stashada katika fani ya Ukatibu Muhtasi kutoka katika Chuo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-30
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 16362...Deadline: 2018-11-05 15:30:00
3. Nafasi za Kazi Katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwa Ba
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kwa ajili ya Baraza la Mji Chake Chake Pemba kama ifuatavyo:- 1.Afisa Mipango Daraja la II “Nafasi 1” Pemba Sifa za Waombaji: •Awe ni....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-30
Mahali pa kazi/tukio: Pemba Imetembelewa mara 12405...Deadline: 2018-11-05 15:30:00
4. Nafasi za Kazi Shirika la Huduma za Maktaba
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Shirika la Huduma za Maktaba Unguja kama ifuatavyo:- 1. Ulinzi Daraja la III “Nafasi 1” Unguja Sifa za Muombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Elimu ya Sekondari na kupata mafunzo ya Ulinzi JKU....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-22
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 10150...Deadline: 2018-10-26 15:30:00
5. Nafasi za Kazi Wizara ya Fedha na Mipango
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Fedha na Mipango kama ifuatavyo:- IDARA YA UENDESHAJI NA UTUMISHI: 1. Afisa Utumishi Daraja la II “Nafasi 3” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Shahada ya Kwanza....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-22
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 5936...Deadline: 2018-10-26 15:30:00
6. Nafasi za Kazi Wizara ya Fedha na Mipango
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Fedha na Mipango kama ifuatavyo:- IDARA YA UENDESHAJI NA UTUMISHI: 1. Afisa Utumishi Daraja la II “Nafasi 3” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Shahada ya Kwanza....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-22
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 7322...Deadline: 2018-10-26 15:30:00
7. Nafasi za Kazi Wizara ya Fedha na Mipango
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Fedha na Mipango kama ifuatavyo:- IDARA YA UENDESHAJI NA UTUMISHI: 1. Afisa Utumishi Daraja la II “Nafasi 3” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Shahada ya Kwanza....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-22
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 1402...Deadline: 2018-10-26 15:30:00
8. Nafasi za Kazi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Raisi
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais kama ifuatavyo:- IDARA YA MAZINGIRA UNGUJA: 1. Afisa Mazingira Daraja la II “Nafasi 1” Unguja Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Shahada ya....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-22
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 10142...Deadline: 2018-10-26 15:30:00
9. Nafasi za Kazi JKCI, TRIT na NCT
On behalf of Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI), Tea Research Institute of Tanzania (TRIT) and National College of Tourism (NCT), Public Service Recruitment Secretariat invites dynamic, suitably qualified and Tanzanians to fill 18 vacant posts mentioned below; BOFYA HAPO CHINI KUPAKUA FILE....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-21
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 12642...Deadline: 2018-11-01 15:30:00
10. Nafasi za Kazi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi (117) za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kama ifuatavyo:- 1.Karani Masjala Daraja la III “Nafasi 11” Unguja na “Nafasi 8” Pemba Sifa za Waombaji: •Awe ni....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2018-10-18
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 12631...Deadline: 2018-10-22 15:30:00
Nafasi za Kazi
Zilizofanyiwa promo
Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
