Huduma na ufundi
Pakua app yetu kutoka Google play
Karibu, Hapa utaweza kupata walimu(Kama private tutors wa kusomesha majumbani), madaktari(kama vile daktari wa familia), mafundi wa aina tofauti na wafanyakazi kama vile wafanyakazi wa ndani. Wewe pia unaweza kutangaza ujuzi, kipaji chako bofya hapa
Jina (Name):
Mmalawi
Elimu (Qualification):
BSc in Information Technology with education, ZU,2018
Uwezo(Skills):
Fundi Kompyuta,
Uzoefu(Experience):
Mwaka 1
Maelezo kiufupi:
Mimi ni kijana ambae nimehitimu elimu ya ngazi ya degree chuo kikuu cha Zanzibar 'Zanzibar University' mwaka 2018. Nimesoma fani ya Teknolojia ya habari pamoja na ualimu (BSc. in Information Technology with education). Kwa sasa najishuhulisha na kazi ya utengenezaji wa website na system kwa ajili ya biasha, pia nimfanyakazi katika kampuni binafsi (SwahiliSoft Technologies Limited) iliyopo mpirani, jengo la ZIC floor namba 3 na kazi zetu kuu ni utoaji wa huduma za teknolojia ya computer(Website Design and Development) pmoja na bidhaa za kiofisi kma Doubble A Paper
Phone 1:
0772896054 Phone 2:
620544989
Jina (Name):
said rajab
Elimu (Qualification):
(eg. BSc in IT, ST JOSEPH,2016)
Uwezo(Skills):
Fundi Umeme, Fundi Kompyuta, Mchoraji ramani,
Uzoefu(Experience):
6
Maelezo kiufupi:
Mimi ni mwalimu wamasomo mbali mbali yanayohusiana na computer kama vile microsoft office, website designer, grahics designer,architecture designer,forex trade maintership, pia nifundi wa computer,fundi umeme,fundi wa camera ,fundi wa network,fundi wa fence za umeme
Phone 1:
0773863040 Phone 2:
0
Jina (Name):
Kenerd Mwanyelele
Elimu (Qualification):
Certificate
Uwezo(Skills):
Fundi vitu vya Electronics,
Uzoefu(Experience):
Miezi
Maelezo kiufupi:
Naujuza electronics naunda project mbalimbali kwamfano light sensor( ikifika usiku taa zina waka zenyewe) n.k na pia ni fundi wa redio, Pasi, jug za kuchemshia maji, deki, fan n.k
Phone 1:
0622288860 Phone 2:
0
Jina (Name):
Khatib Mchina
Elimu (Qualification):
Diploma In Civil engineering Karume 2015,Advance diploma In Chinese language at XCU china
Uwezo(Skills):
Fundi Ujenzi, Mchoraji ramani,
Uzoefu(Experience):
miaka4
Maelezo kiufupi:
Nazungumza lugha ya kichina hivo natoa huduma ya ukalimani na kufundisha kichina.Pia Nina ujuzi katika fani ya uhandisi kwaio anaehitaji kufanyiwa design ya jengo au usimamizi anakaribishwa.
Phone 1:
255626488282 Phone 2:
2147483647
Jina (Name):
Dr.Thaabit/Dr.Mapande
Elimu (Qualification):
Bsc.Agriculture general
Uwezo(Skills):
Seremala,
Uzoefu(Experience):
Miaka Mitano
Maelezo kiufupi:
PEPTIC ULCERS +
Ni dawa asili inayotokana na mchanganyiko wa mimea asili maalumu kwaajili ya kutibu vitonda vya tumbo sugu na dalili zake kama vile??:
?? Maumivu ya Mgongo
?? Tumbo kuwaka moto
?? Gesi inayotokana na asidi ya tumboni(HCL)
?? Huua Bacteria Aina ya Helicobacter Pylori ambao ndio chanzo cha vidonda vya tumbo
?? Hujenga kuta za tumbo ambazo zimeathirika.
?? Hutibu GERD( Gastroesophageal reflux) nk
Dawa hii hutibu aina zote za vidonda vya tumbo kwa asilimia 100% na ni doze ya wiki tatu tu Mpaka tatizo kuisha kabsa Biidhnillaah.
Hutibu PEPTIC ULCERS, Duodenal Ulcers pamoja na Esophageal Ulcers hata kama ni ya muda mrefu kias gan.
Usikate tamaa ya kupona vidonda vya tumbo kwani vidonda vya tumbo vinatibika kwa kutumia dawa hii iitwayo PEPTIC ULCERS + kwa matibabu ya uhakika na kudumu.
Kwa Mahitaji ya dawa hii wasiliana ni kwa mawasiliano yafuatayo??:
+255764516995
+255656198441
E-mail: thabitsayd@gmail.com
Dr.Mapande
Tiba asili,
Tanzania.??.
Phone 1:
0764516995 Phone 2:
656198441
Jina (Name):
Zoba
Elimu (Qualification):
Form 4 kumaliza 2014
Uwezo(Skills):
Fundi pikipiki,
Uzoefu(Experience):
Miaka 5
Maelezo kiufupi:
Hamna
Phone 1:
0777757573 Phone 2:
710862436
Jina (Name):
Musa Technical Group ( M.T.G )
Elimu (Qualification):
Degree of Office Machine Maintenance ( OMM ) at DIT in 2017
Uwezo(Skills):
Fundi Umeme, Fundi Kompyuta, Fundi vitu vya Electronics,
Uzoefu(Experience):
Miaka 4
Maelezo kiufupi:
Mussa Technical Group ni Wataalau wa Kutengeneza, Kuunza na ushauri juu ya Vifaa vya Maofisini kama vile :-
Photocopy Machine, Computer, Printer, Scanner, Lamination Machine .etc. pia tunasafiri na kufanya kaxi popote na kila siku za wiki.
Mawasiliano na maelezo. juu ya hududuma zetu, Tafadhari wasiliana nasi kupitia nambali :-
+255712140975.
0694053472.
Karibuni sana na M/mungu atubariki sote !
Phone 1:
0712140975 Phone 2:
694053472
Jina (Name):
FUNDI HUSSEIN MTORO
Elimu (Qualification):
MBA(BscIT)
Uwezo(Skills):
Fundi simu,
Uzoefu(Experience):
10
Maelezo kiufupi:
SISI NI MAFUNDI SIMU MAHIRI KARIBU TUKUTATULIE MATATIZO MBALI MBALI YA SIMU YAKO
PIA TUNAUZA SIMU MPYA AINA TOFAUTI TOFAUTI SAMSUNG,OPPO, REDMI MI TECNO INFINIX NA VISWASWADU
Phone 1:
0655198669 Phone 2:
655198669
Jina (Name):
Dentist
Elimu (Qualification):
Form4
Uwezo(Skills):
Fundi Umeme,
Uzoefu(Experience):
Nnauzoefu wa miaka m
Maelezo kiufupi:
Fanya kazi na mimi ufaidike kwa wakati na kwa bei nafuu
Phone 1:
0673202322 Phone 2:
763771773
Jina (Name):
Eng. Abdul
Elimu (Qualification):
Diploma
Uwezo(Skills):
Fundi Umeme, Fundi Kompyuta, Fundi Mifereji, Fundi vitu vya Electronics,
Uzoefu(Experience):
Miaka sita
Maelezo kiufupi:
CCTV CAMERA INSTALLATION.
NETWORKING.
ELECTRICAL WIRING. (FITTING ZA UMEME)
FITTING ZA MAJI.
COMPUTER MAINTENANCE. (UFUNDI COMPUTER)
Phone 1:
0719071351 Phone 2:
772881891
Aina
Bidhaa zetu
Tembelea pia
Zilizotembelewa sana
Chuja kwa Brands
