Job Vacancies ...timiza ndoto zako!
1. Nafasi za Kazi Chuo cha Utawala wa Umma (IPA)
CHUO CHA UTAWALA WA UMMA ZANZIBAR KINATANGAZA NAFASI ZA KAZI KAMA HIVI IFUATAVYO:-NAFASI YA KAZI1. Afisa Tehama “Nafasi Mbili (2)”Sifa za Muombaji.• Awe Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Kompyuta Science, Uhandisi wa Kompyuta, au Kompyuta Software kutoka katika....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-07-05
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 24358...Deadline: 2019-07-12 15:30:00
2. Nafasi za kazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar kama ifuatavyo:-1. Wakili wa Serikali Daraja la II “Nafasi 8” SifazaWaombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu elimu ya Shahada ya kwanza ya Sheria kutoka katika Chuo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-28
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 30459...Deadline: 2019-07-05 15:30:00
3. Nafasi za kazi Mamlaka ya Hifadhi na Uendelezaji Mji Mkongwe
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Mamlaka ya Hifadhi na Uendelezaji Mji Mkongwe kama ifuatavyo:-1. Afisa Miradi Daraja la II “Nafasi 1” Sifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Mipango au Mipango ya Maendeleo....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-28
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 27332...Deadline: 2019-07-05 15:30:00
4. Nafasi za kazi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika kada mbali mbali kwa ajili ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kama ifuatavyo:-1. HALMASHAURI YA WILAYA YA MICHEWENI – PEMBA:a) WALIMU WA SAYANSI KATIKA WILAYA YA MICHEWENI - PEMBA.Skuli ni:-....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-28
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 25507...Deadline: 2019-07-05 15:30:00
5. Nafasi za Kazi e-Government Agency (eGA)
PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/J/42 10th June, 2019 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of the e-Government Agency (eGA), President’s Office, Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill sixteen (16) vacant....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-11
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 24015...Deadline: 2019-06-24 15:30:00
6. Nafasi za Kazi Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto
TANGAZO LA NAFASI YA KAZITume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto kama ifuatavyo:-Afisa Ajira Habari Mawasiliano na Ushauri Daraja la II “Nafasi 1” Sifa za Waombaji:Awe ni Mzanzibari.Awe amehitimu Shahada ya Kwanza....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-11
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 16404...Deadline: 2019-06-14 15:30:00
7. Nafasi za kazi katika Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Unguja na Pemba
TANGAZO LA NAFASI YA KAZITume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Unguja na Pemba kama ifuatavyo:-Afisa Ugani Daraja la II “Nafasi 1” Unguja na “Nafasi 1” - PembaSifa za Waombaji:Awe ni Mzanzibari.Awe amehitimu Shahada ya....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-11
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 24294...Deadline: 2019-06-14 15:30:00
8. Nafasi za Kazi Ofisi ya Tume ya Kurekebisha Sheria
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Ofisi ya Tume ya Kurekebisha Sheria kama ifuatavyo:-1. Mwangalizi wa Ofisi Daraja la III “Nafasi 1” Sifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Stashahada katika fani ya Utawala kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-06
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 9731...Deadline: 2019-06-07 15:30:00
9. Nafasi za Kazi Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana kama ifuatavyo:-1. Afisa Afisa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Daraja la II “Nafasi 1” PembaSifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Habari....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-06
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 11993...Deadline: 2019-06-07 15:30:00
10. Nafasi za Kazi Wizara ya Biashara na Viwanda
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Biashara na Viwanda kama ifuatavyo:-IDARA YA UENDESHAJI NA UTUMISHI: 1. Afisa Utumishi Daraja la II “Nafasi 1” Sifa za Waombaji:• Awe ni Mzanzibari.• Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Utawala....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2019-06-06
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 10476...Deadline: 2019-06-07 15:30:00
Job Vacancies
Zilizofanyiwa promo
Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
