Job Vacancies posts...fullfill your dreams!
1. Nafasi za Kazi Maktaba kuu Pemba
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Maktaba Kuu Pemba kama ifuatavyo:- 1. Mkutubi Msaidizi Daraja la III “Nafasi 1” - Pemba Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Stashahada ya Ukutubi kutoka katika Chuo....Source: Utumishi Zanzibar
Release date: 2018-03-12
Duty Station: Pemba 7972 people viewed this !... Deadline: 2018-03-14 15:30:001. Nafasi za Kazi ofisi ya Tume ya Kurekebisha sheria
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Tume ya Kurekebisha Sheria kama ifuatavyo:- 1. Wanasheria Daraja la II “Nafasi 4” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Shahada ya Kwanza ya Sheria kutoka katika Chuo....Source: Utumishi Zanzibar
Release date: 2018-03-09
Duty Station: Zanzibar 12220 people viewed this !... Deadline: 2018-03-14 15:30:001. Nafasi za Kazi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Pemba
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais – Pemba kama ifuatavyo:- 1. Afisa Sheria Daraja la II “Nafasi 1” - Pemba Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Shahada ya Kwanza ya Sheria kutoka....Source: Utumishi Zanzibar
Release date: 2018-03-09
Duty Station: Zanzibar 8824 people viewed this !... Deadline: 2018-03-14 15:30:001. Nafasi za Masomo Zanzibar University
Ofisi ya mkuu wa taalum ya Chuo Kikuu cha Zanzibar (Zanzibar University) Kilichoko Tunguu inapenda kutangaza nafasi za masomo kwa muhula unaoanza Mwezi Mei na Septemba mwaka wa masomo wa 2018/2019 kama ifuatavyo: KOZI ZA CERTIFICATE: 1. CERTIFICATE IN BUSINESS ADMINISTRATION 2. CERTIFICATE IN....Source: ZU Website
Release date: 2018-03-08
Duty Station: ZU 13717 people viewed this !... Deadline: 2018-03-30 16:00:001. Nafasi za Kazi Shirika la Biashara la Taifa ZSTC
SHIRIKA LA BIASHARA LA TAIFA (ZSTC) TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) lilianzishwa mwaka 1968 chini ya Sheria Na. 1 ya mwaka 1966 Sheria ya Mashirika ya Umma, kupitia tamko la Kisheria (Legal Notice) Na. 39 ya mwaka 1968. Shirika limepewa jukumu la kusimamia....Source: ZSTC Website
Release date: 2018-03-08
Duty Station: Zanzibar 29132 people viewed this !... Deadline: 2018-04-09 15:30:001. Wito Usaili ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi za kazi kwa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Raisi kufika katika usaili siku ya Jumapili tarehe 11 Machi, 2017 katika Chuo cha Utawala wa Umma (IPA) Tunguu saa 2:00 asubuhi. Wasailiwa wote wanatakiwa kuchukua vyeti vyao halisi....Source: Utumishi Zanzibar
Release date: 2018-03-07
Duty Station: IPA Tunguu 5736 people viewed this !... Deadline: 2018-03-11 08:00:001. Wito wa usaili ofisi ya Msajili wa Hakimiliki Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi za kazi kwa Ofisi ya Msajili wa Hakimiliki kufika katika usaili siku ya Jumapili tarehe 11 Machi, 2017 katika Chuo cha Utawala wa Umma (IPA) Tunguu saa 2:00 asubuhi. Wasailiwa wote wanatakiwa kuchukua vyeti vyao halisi vya....Source: Utumishi Zanzibar
Release date: 2018-03-07
Duty Station: Tunguu 7515 people viewed this !... Deadline: 2018-03-11 08:00:001. Nafasi za kazi Aga Khan Foundation
Position Title Project officer- Enterprise Development Food Value Chain Location Tanzania Agency Aga Khan Foundation Sector Social Development About the Agency The Aga Khan Foundation (AKF), alongside its....Source: Aga Khan website
Release date: 2018-02-27
Duty Station: Tanzania 8240 people viewed this !... Deadline: 2018-03-05 00:00:001. Nafasi ya Kazi Extractive Industries TAETI
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/J/106 25thFebruary, 2018 VACANCIES ANNOUNCEMENT On the behalf of the Ministry of Minerals, President’s Office, Public Service recruitment Secretariat invite....Source: Utumishi Tanzania
Release date: 2018-02-25
Duty Station: Tanzania 5641 people viewed this !... Deadline: 2018-03-11 00:00:001. Nafasi za Kazi MUHAS, KCMC, TAFIRI, TAFORI, LGTI, NCT na GST
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT....Source: Utumishi Tanzania
Release date: 2018-02-25
Duty Station: Tanzania 7286 people viewed this !... Deadline: 2018-03-08 00:00:00