Job Vacancies ...timiza ndoto zako!
1. Nafasi ya Kazi Zanzibar University
VACANT POST Zanzibar University (ZU) is seeking to recruit a highly qualified and committed Tanzanian to fill the vacant post of Deputy Vice Chancellor for administration. Qualifications: A candidate must have....Chanzo: ZU
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-06
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Univeristy Imetembelewa mara 6290...Deadline: 2017-12-25 00:00:00
2. Nafasi za Kazi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ-Pemba
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ - Pemba kama ifuatavyo:- OFISI YA MKUU WA MKOA WA KUSINI – PEMBA: 1. Karani Masjala Daraja la III “Nafasi 2” Sifa za....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-05
Mahali pa kazi/tukio: Pemba Imetembelewa mara 8395...Deadline: 2017-12-08 00:00:00
3. Nafasi za kazi Wizara ya mifugo maliasili na uvuvi
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Kilimo,Maliasili, Mifugo na Uvuvi kama ifuatavyo:- 1. Microbiology (Mtaalamu wa Maabara) Daraja la II “Nafasi 1” Sifa za Waombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu Shahada ya Kwanza ya....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-12-04
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 15755...Deadline: 2017-12-08 00:00:00
4. Nafasi za kazi LTGI, EASTEC, MUHAS, MNHA na IAA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT ....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-25
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 3622...Deadline: 2017-12-09 00:00:00
5. Nafasi za kazi wizara ya Afya Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara Afya – Unguja na Pemba kama ifuatavyo:- 1. AFISA MAABARA DARAJA LA II - Nafasi moja (1) Unguja. Sifa za Muombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu elimu ya Shahada ya Kwanza ya Maabara mwenye Shahada ya pili ya....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-24
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 6275...Deadline: 2017-11-30 00:00:00
6. Nafasi za Kazi Wizara ya Elimu Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali - Pemba kama ifuatavyo:- 1. WALIMU WA SANAA NGAZI YA CHETI - Nafasi thamanini na saba (87) Sifa za Muombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu mafunzo ya Ualimu wa Sanaa ngazi....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-19
Mahali pa kazi/tukio: Zanzibar Imetembelewa mara 6605...Deadline: 2017-11-24 00:00:00
7. Nafasi za Kazi wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara Biashara, Viwanda na Masoko - Pemba kama ifuatavyo:- 1. AFISA BIASHARA NA MASOKO MSAIDIZI - Nafasi mbili (2) Sifa za Muombaji: • Awe ni Mzanzibari. • Awe amehitimu elimu ya Stashahada ya Usimamizi wa Biashara....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-19
Mahali pa kazi/tukio: Pemba Imetembelewa mara 8530...Deadline: 2017-11-24 00:00:00
8. Scholarships Pilot Training TCAA
TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY SPONSORSHIP FOR PILOT TRAINING ....Chanzo: TCAA web
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-15
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 6188...Deadline: 2017-12-08 00:00:00
9. Wito usaili Wizara ya kazi kwa Baraza la Vijana
Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi za kazi katika Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto kwa ajili ya Baraza la Vijana kufika katika Wizara ya Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto, siku ya Jumamosi ya tarehe 04....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-11-01
Mahali pa kazi/tukio: Wizara ya Kazi Imetembelewa mara 6614...Deadline: 2017-11-04 00:00:00
10. Nafasi za kazi Wizara ya Fedha Muungano
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/J/62 ....Chanzo: Utumishi Tanzania
Tarehe ya kutolewa: 2017-10-28
Mahali pa kazi/tukio: Tanzania Imetembelewa mara 4202...Deadline: 2017-11-11 00:00:00
Job Vacancies
Zilizofanyiwa promo
Zilizotembelewa sana
Bidhaa Zote
