MWALIMU “GRADE A” SAYANSI (PHYSICS & MATH) DARAJA LA II

Maelezo

Chanzo: ZanAjira



Tarehe Iliyotolewa: 2023-01-04



Kituo cha Kazi/Tukio: Zanzibar
Imetembelewa mara! 22371 ... Deadline: 2023-01-11 07:34:00

POSTMWALIMU “GRADE A” SAYANSI (PHYSICS & MATH) DARAJA LA II - PEMBA - 23 POST
EMPLOYERWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
APPLICATION TIMELINE:From: 04-01-2023 To: 11-01-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kufundisha wanafunzi (katika ngazi ya Cheti na Stashahada (Ordinary Diploma)).
  2. Kuandaa mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work).
  3. Kuandaa vitini vya kufundishia.
  4. Kutathmini maendeleo ya wanafunzi.
  5. Kuchukuwa mahudhurio ya wanafunzi na kutathmini maendeleo yao
  6. Kutunga na kusahihisha mitihani.
  7. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibari mwenye umri usiozidi miaka 46
  2. Awe mwenye Shahada ya Kwanza ya Ualimu wa Sayansi katika katika masomo ya Physics na Mathematics kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapindizi ya Zanzibar.
REMUNERATIONZPSJ-04/SAYANSI

kwa maelezo zaidi fuata link https://bit.ly/3WPW06r



Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English