Kituo cha Kazi/Tukio: ZanzibarImetembelewa mara! 22371 ... Deadline: 2023-01-11 07:34:00
POST
MWALIMU “GRADE A” SAYANSI (PHYSICS & MATH) DARAJA LA II - PEMBA - 23 POST
EMPLOYER
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
APPLICATION TIMELINE:
From: 04-01-2023 To: 11-01-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Kufundisha wanafunzi (katika ngazi ya Cheti na Stashahada (Ordinary Diploma)).
Kuandaa mpangilio wa masomo wanayofundisha (Scheme of Work).
Kuandaa vitini vya kufundishia.
Kutathmini maendeleo ya wanafunzi.
Kuchukuwa mahudhurio ya wanafunzi na kutathmini maendeleo yao
Kutunga na kusahihisha mitihani.
Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Awe Mzanzibari mwenye umri usiozidi miaka 46
Awe mwenye Shahada ya Kwanza ya Ualimu wa Sayansi katika katika masomo ya Physics na Mathematics kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapindizi ya Zanzibar.
REMUNERATION
ZPSJ-04/SAYANSI
kwa maelezo zaidi fuata link https://bit.ly/3WPW06r