Nafasi 233 za kazi TAMISEMI
Maelezo
![](../../../announcements/images/court_of_arms_tanzania.png)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi mia mbili thelathini na tatu (233) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili;
1.0.1 MHANDISI II UJENZI (HIGHWAY) – NAFASI 07
1.0.2 MAJUKUMU YA KAZI
i. Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa na Bodi ya Usajili ya Wahandisi (Professional Engineer) ili kupata uzoefu unaotakaiwa;
ii. Kufanya ukaguzi wa barabara, madaraja na majengo mbalimbali;
iii. Kuchunguza vyanzo vya ajali barabarani;
iv. Kufuatilia utekelezaji wa Sheria na Kanuni za ujenzi wa barabara na majengo;
v. Kutayarisha bajeti ya mwaka ya ujenzi na matengenezo ya barabara, madaraja na majengo;
vi. Kusimamia na kuratibu kazi za barabara/madaraja na majengo zinazotolewa na Makandarasi; na
vii. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Msimamizi wake wa kazi.
![](../../../../announcements/images/whattsappicon.png)
Bidhaa Mbalimbali
Zenye Promotion
Bidhaa Nyenginezo
Tembelea pia
![](images/45.jpg)