Nafasi ya Kazi AFISA UHUSIANO DARAJA II - 1 POST

Maelezo

Chanzo: ZanAjira



Tarehe Iliyotolewa: 2023-04-08



Kituo cha Kazi/Tukio: Zanzibar
Imetembelewa mara! 14739 ... Deadline: 2023-04-15 01:42:00

POSTAFISA UHUSIANO DARAJA II - 1 POST
EMPLOYERWIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
APPLICATION TIMELINE:From: 01-04-2023 To: 15-04-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kusaidia kutayarisha matangazo ya kuitangaza Taasisi kupitia vipeperushi, redio, magazeti na Makala.
  2. Kupokea malalamiko kwa wadau na wananchi kwa ujumla juu ya utendaji wa Taasisi;
  3. Kusaidia kufanya uchunguzi wa malalamiko yaliyowasilishwa kwa Taasisi;
  4. Kusaidia kuyatafutia ufumbuzi malalamiko yaliyowasilishwa.
  5. Kuandika ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka; na
  6. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibari.
  2. Awe amehitimu Shahada ya Kwanza katika fani ya Uhusiano wa Umma na Uhusiano wa Kimataifa kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
REMUNERATIONZPSE - 10



Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English