Nafasi ya Kazi ya Fundi Umeme

Maelezo

Chanzo: ZanAjira



Tarehe Iliyotolewa: 2023-04-28



Kituo cha Kazi/Tukio: TANZANIA
Imetembelewa mara! 6048 ... Deadline: 2023-04-30 03:51:00

POSTFUNDI UMEME DARAJA LA III - PEMBA - 1 POST
EMPLOYEROFISI YA RAIS - IKULU
APPLICATION TIMELINE:From: 14-04-2023 To: 30-04-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kutia fitting mpya za wire wa umeme.
  2. Kuzifanyia ukarabati fitting kongwe.
  3. Kufunga main switch circuit braker swich socket na vifaa vyengine vya umeme.
  4. Kufanya marekebisho yanayohitajika pale panapotokezea maharibiko yaliyosababishwa na hitilafu la umeme.
  5. Kufanya kazi nyengine yeyote inayohusiana na masuala ya matengenezo au marekebisho ya umeme.
  6. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka arubaini na sita (46)
  2. Awe mwenye Stashahada au ya ufundi umeme kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
REMUNERATIONZPSD - 03

 

 

KWA MAOMBI GUSA HAPA



Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English