Nafasi ya kazi Bunge Tanzania
Maelezo

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Bunge la Tanzania anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi moja (1) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.
1.0 MWAJIRI: BUNGE LA TANZANIA
1.0.1 MWANDISHI WA TAARIFA RASMI ZA BUNGE II (NAFASI 1) 1.0.2 MAJUKUMU YA KAZI
Kuandika majadiliano ya vikao vya Kamati na Bunge yaliyorekeishwa katika sauti;
Kuandika na kuhakiki michango ya maandishi ya Wabunge;
Kufanya uhariri wa awali wa nakala za majadiliano kabla ya kuziwasilisha kwa
Wabunge husika;
Kuingiza masahihisho yaliyofanywa na Wabunge katika nakala za awali za
Taarifa Rasmi za Bunge;
Kuhifadhi nakala tepe za awali za majadiliano ya vikao vya Kamati za Bunge
Kufanya kazi nyingine za kiofisi atakazopangiwa na msimamizi wake wa kazi.

Zinazofanana
- AFISA TATHMINI NA USAJILI BIDHAA ZA CHAKULA DARAJA LA II-UNGUJA - 1 POST
- Afisa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) Daraja la II-PEMBA - 1 POST
- AFISA UFATILIAJI UBORA WA DAWA SOKONI DARAJA LA II-UNGUJA - 1 POST
- DRIVER II-UNGUJA - 1 POST
- RECEPTIONIST II -UNGUJA - 1 POST
- ARTISAN II (ELECTRICAL)-UNGUJA - 1 POST
- POSTAL CLERK-UNGUJA - 3 POST
- MARKETING OFFICER II – MARKETING-UNGUJA - 1 POST
- ACCOUNTS ASSISTANT II-UNGUJA - 2 POST
- ASSISTANT RADIATION SAFETY INSPECTOR II-UNGUJA - 3 POSTS
- ASSISTANT POSTAL OFFICER II-UNGUJA - 3 POST
- ICT OFFICER II - FRONT END DEVELOPER -UNGUJA - 1 POST
Bidhaa Mbalimbali
Zenye Promotion
Bidhaa Nyenginezo
Tembelea pia
