Nafasi za Kazi Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za taifa, MULUWASA na Kwengineko

Maelezo

Chanzo: Utumishi Tanzania



Tarehe Iliyotolewa: 2021-09-15


Download


Kituo cha Kazi/Tukio: Tanzania
Imetembelewa mara! 18244 ... Deadline: 2021-09-21 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

page1image286393312

Ref.No.JA.9/259/01/37

08 Septemba, 2021

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

page1image286401984

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Muleba (MULUWASA) na Wizara, Idara Zinazojitegemea na Wakala wa Serikali anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 12 kama zilivyoainishwa hapa chini.

1.0 IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa ilianza kutekeleza shughuli zake kama Idara Inayojitegemea kuanzia mwezi Julai, 2015, ikiwa na maudhui ya Kulinda na Kuhifadhi Urithi andishi wa Taifa letu.

1.0.1 1.0.2

AFISA KUMBUKUMBU II - NAFASI 1

i.

MAJUKUMU YA KAZI

Kudhibiti mifumo ya kumbukumbu, Kutunza na kusimamia matumizi ya kumbukumbu za Wizara, Idara Zinazojitegemea, Vituo vya kutunzia kumbukumbu, Mikoa, Manispaa, Halmashauri za Wilaya, Nyaraka za Taifa na Mashirika ya Umma kulingana na mahali alipo

 

TAFADHALI PAKUA PDF FILE HAPA KUPATA MAELEZO ZAIDI

 

 



Download

Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English