Nafasi za Kazi TAFIRI na Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Maelezo

Chanzo: Utumishi Tanzania



Tarehe Iliyotolewa: 2021-05-28


Download


Kituo cha Kazi/Tukio: Tanzania/USA
Imetembelewa mara! 30730 ... Deadline: 2021-06-08 15:30:00

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

page1image2121674288

OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Kumb.Na.EA.7/96/01/L/122 26 Mei, 2021

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) na Wizara ya Mifugo na Uvuvi anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi nne (4) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili;-

 

 

TAFADHALI PAKUA FAILI LA PDF HAPA KWA MAELEZO ZAIDI

 



Download

Share via Whatsapp
Advertise with us

©2025 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English