Nafasi za Kazi Tasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar

Maelezo

Chanzo: Utumishi Zanzibar



Tarehe Iliyotolewa: 2022-09-25


Download


Kituo cha Kazi/Tukio: Zanzibar
Imetembelewa mara! 21558 ... Deadline: 2022-09-30 15:30:00


 

TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO ZANZIBAR

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

BODI YA WAKURUGENZI YA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO ZANZIBAR KWA MUJIBU WA SHERIA INATANGAZA NAFASI ZA KAZI KATIKA OFISI ZAKE UNGUJA NA PEMBA KWA WATAFITI KATIKA KADA MBALIMBALI KAMA IFUATAVYO.

1. AFISA UTAFITI KILIMO DARAJA LA II - UNGUJA NAFASI 2 NA PEMBA NAFASI 5


 

Sifa za Muombaji

Awe Mzanzibari

Awe amehitimu Shahada ya Kwanza au Shahada ya Pili katika fani ya ‘General Agriculture’ au fani inayolingana na hiyo katika chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Awe na umri usiozidi miaka 46.


 

2. AFISA UTAFITI UMWAGILIAJI MAJI DARAJA LA II - UNGUJA NAFASI 1


 

Sifa za Muombaji

Awe Mzanzibari

Awe amehitimu Shahada ya Kwanza au Shahada ya Pili katika fani ya ‘Water Resources and Irrigation Engineering’ au fani inayolingana na hiyo katika chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Awe na umri usiozidi miaka 46.


 

3. AFISA MAABARA DARAJA LA II - UNGUJA NAFASI 3


 

Sifa za Muombaji

Awe Mzanzibari

Awe amehitimu Shahada ya Kwanza au Shahada ya Pili katika fani ya ‘Laboratory Science au Biotechnology au Molecular Biology au Microbiology’ au fani inayolingana na hizo katika chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Awe na umri usiozidi miaka 46

 

TAFADHALI PAKUA PDF FILE HAPA KWA TAARIFA ZAIDI

 



Download

Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English