Nafasi za Kazi Udereva
Maelezo

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/J/53 29 Julai, 2019
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara zinazojitegemea na Wakala wa Serikali anakaribisha maombi ya kazi nafasi ya Dereva.Aidha,Dereva watakao ajiriwa watapelekwa katika Ofisi tofauti Serikalini. Hivyo maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 400 yanakaribishwa.
1.0 DEREVA DARAJA LA II TGS B - (NAFASI 400) - ZINARUDIWA
1.1 MAJUKUMU YA KAZI
i) Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari, ii) Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi,
iii) Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari, iv) Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali,
v) Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari, vi) Kufanya usafi wa gari, na
vii) Kufanya kazi nyingine kadri anavyoelekeza na Msimamizi wake.
BOFYA HAPA KUDOWNLOAD PDF FILE KWA MAELEZO ZAIDI

Zinazofanana
- AFISA UFATILIAJI UBORA WA DAWA SOKONI DARAJA LA II-UNGUJA - 1 POST
- AFISA TATHMINI NA USAJILI BIDHAA ZA CHAKULA DARAJA LA II-UNGUJA - 1 POST
- Afisa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) Daraja la II-PEMBA - 1 POST
- RECEPTIONIST II -UNGUJA - 1 POST
- DRIVER II-UNGUJA - 1 POST
- ACCOUNTS ASSISTANT II-UNGUJA - 2 POST
- ASSISTANT RADIATION SAFETY INSPECTOR II-UNGUJA - 3 POSTS
- ASSISTANT POSTAL OFFICER II-UNGUJA - 3 POST
- ICT OFFICER II - FRONT END DEVELOPER -UNGUJA - 1 POST
- ARTISAN II (ELECTRICAL)-UNGUJA - 1 POST
- POSTAL CLERK-UNGUJA - 3 POST
- MARKETING OFFICER II – MARKETING-UNGUJA - 1 POST
Bidhaa Mbalimbali
Zenye Promotion
Bidhaa Nyenginezo
Tembelea pia
